US alerts travelers to Tanzania about possible unreported Ebola cases, security concerns

Weee mtu afe kwa Ebola halafu kusiwe na kadhia zingine kadhaa mfululizo nyuma yake.

Sasa mbona msiwaruhusu wataalam wa WHO waje wakague hilo na kuhakikishia usalama kwa dunia, haya matamko ya kwamba Ebola haifichiki ni ya kupoteza muda maana mwisho wa siku bado wanasisitiza na sasa wameanza kutoa tahadhari kwa watu wao huku mkiendelea kujipiga piga vifua.
Sio bure, inawezekana kuna kitu mumefanya kimya kimya na wanajua hilo, ndio maana mumegoma wasije.
 
Hiyo ndo tofauti yenu na sisi, sisi tuko huru na hatupelekeshwi kizembe ila nyinyi mnaolamba miguu ya mabeberu
 
Hiyo ndo tofauti yenu na sisi, sisi tuko huru na hatupelekeshwi kizembe ila nyinyi mnaolamba miguu ya mabeberu

Hamna cha kupelekeshwa wala nini, ni kosa kujifanya jeuri ilhali mwenyewe huna uwezo wa kutengeneza dawa hata ya mafua, huna kiwanda hata cha sindano, vyote unaagiza kutoka kwa hawa, hivyo mwisho wa siku unawafanyia jeuri kwa Ebola ilhali utawategemea hao kukupa madawa n matibabu yake.
 
Jamn ebu acheni hzi maswala, kama ebola upo au ungekuepo basi ingejulikana tu, huu ugonjwa sio malaria mtu aweza ficha akajitibu ndani, istoshe hapa dar popln ni kubwa na watu wapo na harakat zao kama maambukizi yangekuepo basi ingejulikana ndani ya siku kadhaa, lakn time inazd kwenda week ya tatu inaenda isha na hakuna mlipuko, hakuna vifo vngne na hakuna mshtukiwa mwngne wa maambukizi this indicates that hakuna huo mlipuko hapa tz. So mayb huyo mtu alikua nayo or not but hakuna mlipuko wa huo ugonjwa hapa Tz so em achane kusambaza hofu na kuichafua amani hadi itakapothibitishwa na WHO au vituo vya afya vya taifa. Kama upo au utakuepo bas watz em tuwe makin kdg katka makazi yetu.
 
Pathogenesis ya Ebola ipo vipi?
 

WHO is not always a neutral party. Sometimes is used as a tool to fulfill the people's ends.
 
Kenya people
 
No one is wishing Tanzania bad luck, jus let the relevant authorities help,otherwise Tz stand to lose big time.Your not that special, you will lose lots of tourist,kama kenya na al shabaab
Na hii isu nadhani Kenya ina mkono wake hapa. Ushahidi huu hapa
 
Sijui hii Ebola iliishia wapi.Wamarekani bwana,ni magaidi hatari sana.Naamini walipanga kututupia Ebola kama walivyowatupia COVID-19 Wachina ,Korea ya Kusini,Iran na wengine.Sasa wameamua kui- bioterrorize dunia kwa COVID-19.Wanamwaga kila mahali,huku wakijifanya ile ya Wuhan ndiyo inayoenea dunia nzima ,Mungu awalaani kabisa.Kweli nimeamini Marekani ndilo Sinagogi la Shetani.
 
Sio ilo tu ata nzige,njaa,mafuriko,malaria,ukimwi,nk ni Marekàni
 
Sio ilo tu ata nzige,njaa,mafuriko,malaria,ukimwi,nk ni Marekàni
Mkuu hawa Nzige hata wataalamu wa bioengineering wameduwaa.Sasa wanadhani nao ni genetically engineered,kwa kuwa tabia zao zimepitiliza zile za Nzige wa jangwani.Hebu fuata link hii.

Are these unheard of locust swarms bioengineered to devour the crop fields to cause food shortages? | SOTN: Alternative News, Analysis & Commentary

Mkuu kama wakiendelea kula na kuzaliana kama wanavyofanya sasa,basi nchi za Africa ya Mashariki na Ethiopia na labda hata nchi zingine tunazopakana nazo,tuhesabu kwamba hatuna chakula.It's so frightening.Majanga kila corner,dah!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…