Profesa ntare nkobe
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 6,958
- 8,071
Ebora sio sukuma wiki za wairimu ingekuwepo tunge ongea mengine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weee mtu afe kwa Ebola halafu kusiwe na kadhia zingine kadhaa mfululizo nyuma yake.
Sasa mbona msiwaruhusu wataalam wa WHO waje wakague hilo na kuhakikishia usalama kwa dunia, haya matamko ya kwamba Ebola haifichiki ni ya kupoteza muda maana mwisho wa siku bado wanasisitiza na sasa wameanza kutoa tahadhari kwa watu wao huku mkiendelea kujipiga piga vifua.
Sio bure, inawezekana kuna kitu mumefanya kimya kimya na wanajua hilo, ndio maana mumegoma wasije.
Hiyo ndo tofauti yenu na sisi, sisi tuko huru na hatupelekeshwi kizembe ila nyinyi mnaolamba miguu ya mabeberu
Pathogenesis ya Ebola ipo vipi?Huyo mgonjwa kafa zaidi ya weeks mbili zimepita, ukiwa contaminated na mgonjwa wa Ebola it will take hours na wewe kuanza kuumwa Ebola, yaani ile ni eruption, sasa mbona hatujasikia cases zozote mpya baada ya kifo cha huyu doctor popote na taarifa zinasema baada ya kutoka Kampala alienda Mwanza then Lindi then Dar na kote huko alikutana na watu wengi sababu alikua akifanya research ya master's yake
Ina maana kote huko hakuna aliemuambukiza katika mzunguko wote huo mpaka kufika Dar?
Ndiyo nini hiyo?Ebora sio sukuma wiki za wairimu ingekuwepo tunge ongea mengine
Sasa mbona msiwaruhusu wataalam wa WHO waje wakague hilo na kuhakikishia usalama kwa dunia, haya matamko ya kwamba Ebola haifichiki ni ya kupoteza muda maana mwisho wa siku bado wanasisitiza na sasa wameanza kutoa tahadhari kwa watu wao huku mkiendelea kujipiga piga vifua.
Sio bure, inawezekana kuna kitu mumefanya kimya kimya na wanajua hilo, ndio maana mumegoma wasije.
Kenya peopleHiki kitu Watanzania wamegoma kukiweka sawa na kuendelea kufoka dhidi ya mabeberu, hawa hawatawaacha hadi siku mtaruhusu WHO wakague wenyewe na kuhakiki hicho kitu hakijafichwa. Hizi tahadhari zimeanza kwa Marekani, washirika wake watafuata na kuendelea kushinikiza.
WHO wamesema mara nyingi kwamba sio wao wanasema kuna Ebola Tanzania, ila tetesi zipo na wanataka waruhusiwe kukagua wao, na hata muwakilishi wao alipoitwa, alirudia hayo hayo kwamba tetesi za Ebola hazikutoka kwao, alikua makini sana kwenye matamko yake.
------------------------
Aerial view of Dar es Salaam, where a doctor died with Ebola-like symptoms.BEN CURTIS/AP
he State Department and the Centers for Disease Control and Prevention are alerting American travelers to the possibility that there may be unreported Ebola cases in Tanzania.
The information — posted on their websites Friday afternoon — relates to concerning reports that a Tanzanian doctor who had been in Uganda in August and who died after her return home may have tested positive for Ebola.
The Tanzanian government has steadfastly denied having any Ebola cases. But it has refused to send out for external validation the tests it performed on the dead doctor and several of her contacts who became sick after her death
Last Saturday, the World Health Organization took the highly unusual step of alerting the world that it had received credible intelligence that Tanzania might have a case or several cases of Ebola, but that the country was refusing to report them. The statement detailed the steps the Geneva-based agency has taken to seek information from Tanzanian authorities, who did not respond to the initial request for information for four days.
Rumors have swirled about positive Ebola tests and relatives and contacts forced into involuntary quarantine. Concern about the situation has been amplified by the fact that Tanzanian authorities are typically cooperative with international partners.
U.S. and U.K. alert travelers to Tanzania about possible unreported Ebola cases
The U.S. State Department and CDC are alerting American travelers to the possibility that there may be unreported Ebola cases in Tanzania.www.statnews.com
Kama uja elewa pita kushotoNdiyo nini hiyo?
Na hii isu nadhani Kenya ina mkono wake hapa. Ushahidi huu hapaNo one is wishing Tanzania bad luck, jus let the relevant authorities help,otherwise Tz stand to lose big time.Your not that special, you will lose lots of tourist,kama kenya na al shabaab
Na hii isu nadhani Kenya ina mkono wake hapa. Ushahidi huu hapaView attachment 1218712
Sijui hii Ebola iliishia wapi.Wamarekani bwana,ni magaidi hatari sana.Naamini walipanga kututupia Ebola kama walivyowatupia COVID-19 Wachina ,Korea ya Kusini,Iran na wengine.Sasa wameamua kui- bioterrorize dunia kwa COVID-19.Wanamwaga kila mahali,huku wakijifanya ile ya Wuhan ndiyo inayoenea dunia nzima ,Mungu awalaani kabisa.Kweli nimeamini Marekani ndilo Sinagogi la Shetani.
Aerial view of Dar es Salaam, capital of Tanzania, where a doctor died with Ebola-like symptoms.BEN CURTIS/AP
The State Department and the Centers for Disease Control and Prevention are alerting American travelers to the possibility that there may be unreported Ebola cases in Tanzania.
The information — posted on their websites Friday afternoon — relates to concerning reports that a Tanzanian doctor who had been in Uganda in August and who died after her return home may have tested positive for Ebola.
The Tanzanian government has steadfastly denied having any Ebola cases. But it has refused to send out for external validation the tests it performed on the dead doctor and several of her contacts who became sick after her death.
Last Saturday, the World Health Organization took the highly unusual step of alerting the world that it had received credible intelligence that Tanzania might have a case or several cases of Ebola, but that the country was refusing to report them. The statement detailed the steps the Geneva-based agency has taken to seek information from Tanzanian authorities, who did not respond to the initial request for information for four days.
Rumors have swirled about positive Ebola tests and relatives and contacts forced into involuntary quarantine. Concern about the situation has been amplified by the fact that Tanzanian authorities are typically cooperative with international partners.
WHO signals alarm over possible unreported Ebola cases in Tanzania
Under the International Health Regulations, a global treaty to which Tanzania is a signatory, countries are obliged to notify the WHO immediately when they have outbreaks of serious infectious diseases that could pose a risk to their neighbors and the wider world.
The WHO has been publicly silent about the matter since it issued the statement on Sept. 21. But sources tell STAT the WHO and some national governments have been trying to get the Tanzanian government to be more forthcoming with information, using the opportunity of this week’s United Nations General Assembly to push for transparency.
There is no information to suggest the dead woman had traveled to the Democratic Republic of the Congo, currently battling the second largest Ebola outbreak on record.
But that doesn’t preclude the possibility that she might have been infected. She might have had contact in Uganda with an unreported case there — the country borders DRC and has had several cases where infected people have crossed into the country. It is also conceivable she might have been infected through a new, as yet undetected emergence of Ebola.
The CDC’s information, which is posted in the travel health section of its website, is both mildly worded and unusual. Typically when the CDC wants to alert Americans of health risks abroad, it issues a travel notice, which are coded as level 1, 2, or 3, with 3 the highest, indicating Americans should avoid all non-essential travel to that location.
In this case, though, the information was simply added to the page that outlines travel health advice for Tanzania. There was no risk level attached to the advice.
“The ongoing risks from this event are unknown, but at this time and based on available information (which is incomplete), no travel restrictions to Tanzania are indicated,” the CDC said.
“However, travelers should remain aware of the situation and avoid direct contact with people who are ill, when possible. They should also monitor themselves for symptoms of [Ebola virus disease] (fever, severe headache, muscle pain, weakness, fatigue, diarrhea, vomiting, abdominal pain, unexplained bruising or bleeding) both during and for 3 weeks after travel,’’ the agency said.
The information on the State Department’s website is more succinct. Both websites outline the locations where the woman who died had traveled before her death: Songea, Njombe, and Mbeya. She died in the capital, Dar es Salaam, on Sept. 8.
About the Author
Helen Branswell
Senior Writer, Infectious Disease
Helen Branswell covers issues broadly related to infectious diseases, including outbreaks, preparedness, research, and vaccine development.
helen.branswell@statnews.com
@HelenBranswell
******
Tofauti na Tahadhari hiyo Marekani pia yawatahadharisha Wananchi wake juu ya kuongezeka kwa Uhalifu, Ugaidi, sintofahamu katika masuala ya Afya na kuwalenga Watu wanaohusika na mahusiano ya jinsia moja. Zaidi, tembelea;
US alerts travelers to Tanzania: Exercise increased caution in Tanzania due to crime, terrorism, health issues, and targeting of LGBTI persons
Imewatahadharisha Wananchi wake juu ya kuongezeka kwa Uhalifu, Ugaidi, sintofahamu katika masuala ya Afya na kuwalenga Watu wanaohusika na mahusiano ya jinsia moja Imedai Uhalifu wa dhuluma, kama vile kushambulia, unyanyasaji wa kijinsia, ujambazi na uporaji ni kawaida na Polisi wa Tanzania...www.jamiiforums.com
Sio ilo tu ata nzige,njaa,mafuriko,malaria,ukimwi,nk ni MarekàniSijui hii Ebola iliishia wapi.Wamarekani bwana,ni magaidi hatari sana.Naamini walipanga kututupia Ebola kama walivyowatupia COVID-19 Wachina ,Korea ya Kusini,Iran na wengine.Sasa wameamua kui- bioterrorize dunia kwa COVID-19.Wanamwaga kila mahali,huku wakijifanya ile ya Wuhan ndiyo inayoenea dunia nzima ,Mungu awalaani kabisa.Kweli nimeamini Marekani ndilo Sinagogi la Shetani.
Mkuu hawa Nzige hata wataalamu wa bioengineering wameduwaa.Sasa wanadhani nao ni genetically engineered,kwa kuwa tabia zao zimepitiliza zile za Nzige wa jangwani.Hebu fuata link hii.Sio ilo tu ata nzige,njaa,mafuriko,malaria,ukimwi,nk ni Marekàni