masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,410
- 14,119
Firepower: The S-400 is capable of shooting down up to 80 targets simultaneously and is said to be able to travel more than 10,000mph; Russia is also hoping to sell the system to Iran and Turkey, and a successful demonstration against American hardware would only help sell the $400m per unit system
Read more: http://www.dailymail.co.uk/news/article-5604471/Deadly-Russian-S-400-ring-steel-protects-Assad.html#ixzz5CSwcP6DW
Majeshi ya Urisi inasemekana imetega makombora aina ya S-400 kuizunguka Syria ikiwasubiri tu Marekani na wenzake washambulie Syria.
Makombora ya S-400 inaseekana ni ya kisasa Zaidi na ni defensive.
Uwezo wa makombora haya uko katika spidi.
Spidi yake inafikia 16,000km/hr(10,000mph), spidi ambayo si Ndege ya Marekani wala kombora yaweza kuifikia kirahisi.
Changamoto itakuwa katika kung'amua kombora la Marekani linalo fyatuliwa.
Sensor zilizo angani(za Urusi) zikyaona tu makombora ya Tomahawk ya kimarekani yakiingia angani, haraka sana within seconds S-400 zitawafuatilia na kuiangamiza kama mwewe awaangamizavyo vifaranga.
Source:Deadly Russian S-400 'ring of steel' protects Assad | Daily Mail Online

ajichanganye