Kamanda wa Kweli
JF-Expert Member
- Jul 13, 2014
- 1,448
- 846
Waziri mkuu Wa Urusi amesema vikwazo vipya vilivyowekwa na Marekani dhidi ya Urusi ni sawa na kitangaza vita vya kibiashara.Amesema kuwa mikakati iliotiwa saini na rais Trump, insonyesha udhaifu Wa rais huyo Wa Marekani ambaye alisema ameaibishwa na bunge la Congress.
Sheria hiyo inalenga kuiadhibu Urusi kwa kuingilia uchaguzi Wa 2016, ns vitendo vyake dhidi ya Ukraine.
Bwana Trump alilishutumu bunge la congress kwa sheria hiyo.
Katika kutia saini makubaliano hayo, dhidi ya adui Wa marekani Siku ya jumatano, Trump alisema mkajati huo sio sawa.
Sheria hiyo pia inaiwekea vikwazo Iran na Korea ya Kaskazini.
Bwana Medvedev alionya kuwa, hatua mpya zinazolenga kumuondoaTrump madarakani zitachukuliwa kwa kuwa siyo MTU aliye na utaratibu.
Urusi tayari ilishalipiza kizqzi wiki iliyopita kwa kuwatimua wanadiplomasua 755 waliokuwa wanatanya kazi katika ubalozi Wa Marekani.
Iran kwa upande wake imesema vikwazo hivyo vinakiuka makubaliano ya nuclear na jwamba itachukua hatua zilizo sahihi na sawa ili kulipiza kisasi.
Korea ya Kaskazini kwa upande wake bado haijatoa taarifa yo yote.
Mataifa kadhaa ya ulaya ikiwemo Ujerumani yanahofia vikwazo hivyo vipya vinaweza kuathiri kawi hiyo ya Ulaya.
Source: BBC Swahili.
Sheria hiyo inalenga kuiadhibu Urusi kwa kuingilia uchaguzi Wa 2016, ns vitendo vyake dhidi ya Ukraine.
Bwana Trump alilishutumu bunge la congress kwa sheria hiyo.
Katika kutia saini makubaliano hayo, dhidi ya adui Wa marekani Siku ya jumatano, Trump alisema mkajati huo sio sawa.
Sheria hiyo pia inaiwekea vikwazo Iran na Korea ya Kaskazini.
Bwana Medvedev alionya kuwa, hatua mpya zinazolenga kumuondoaTrump madarakani zitachukuliwa kwa kuwa siyo MTU aliye na utaratibu.
Urusi tayari ilishalipiza kizqzi wiki iliyopita kwa kuwatimua wanadiplomasua 755 waliokuwa wanatanya kazi katika ubalozi Wa Marekani.
Iran kwa upande wake imesema vikwazo hivyo vinakiuka makubaliano ya nuclear na jwamba itachukua hatua zilizo sahihi na sawa ili kulipiza kisasi.
Korea ya Kaskazini kwa upande wake bado haijatoa taarifa yo yote.
Mataifa kadhaa ya ulaya ikiwemo Ujerumani yanahofia vikwazo hivyo vipya vinaweza kuathiri kawi hiyo ya Ulaya.
Source: BBC Swahili.