Wewe acha kupotosha mahakama inafanya maamuzi kwenye makosa ya madai na inahukumu kwenye makosa ya jinai......na kuna maamuzi yanayofanywa na mahakama ni sheria(PRECEDENT) kuna mazingira flani mahakama inatoa mwongozo unaofanana na kutunga sheria...ZOMBA kama hujakaa darasani kusoma sheria usijaribu kupotosha watu umu sheria is a noble proffessional don dare to put your politics.