Duh ndiomana me kwasasa sijishuurishi kabisa namademu, nilichokiamua nikutafuta pesa alafu mwisho wasiku nije nioe wajukuu/vitukuu vyahawa wanawake walionikataa kwasasa
Yeyote anayepinga ni limbukeni wa mapenzi. Mapenzi uyoga popote humea. Bila mbolea wala jembe la mkulima. Hao vibabu nao wanatamani kukumbukia saa 6 kamili. Chezea chuchuwaa weye. Huna haja ya vumbi ya congo ukigusa tu antena inasimama