Duh ndiomana me kwasasa sijishuurishi kabisa namademu, nilichokiamua nikutafuta pesa alafu mwisho wasiku nije nioe wajukuu/vitukuu vyahawa wanawake walionikataa kwasasa
Yeyote anayepinga ni limbukeni wa mapenzi. Mapenzi uyoga popote humea. Bila mbolea wala jembe la mkulima. Hao vibabu nao wanatamani kukumbukia saa 6 kamili. Chezea chuchuwaa weye. Huna haja ya vumbi ya congo ukigusa tu antena inasimama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.