Malkia bora
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 765
- 524
Nilidhani miradi ni ya wananchi na mwananchi ye yote anaweza kukagua miradi yo yote kwani matumizi ya kodi ya mtu hayana mipaka.
What is the problem?
Tunaficha nini awamu hii.
Kwa nini tunazuiwa kutembelea kote nchini kwetu?
What is the problem?
Tunaficha nini awamu hii.
Kwa nini tunazuiwa kutembelea kote nchini kwetu?