Urais 2015: Tundu Lissu atafaa zaidi CHADEMA

Kintiku

JF-Expert Member
Feb 3, 2011
617
319
Wadau,
Nikiwa mdau wa muda mrefu sana hapa (nilibadili ID, na pia nikiwa mfuatiliaji mzuri wa mwenendo wa siasa za Tanzania nimebaini kuwa kama tunataka kubadili uongozi wa nchi basi tujikite katika kuleta mabadiliko ya kweli.

Binafsi nadhani nchi yetu inahitaji kiongozi ambaye ni mkekereketwa hasa ambaye anakasirishwa toka moyoni na hali iliyopo katika nchi kwa sasa.

Tunataka mtu ambaye ana machungu na maovu yaliyopo sasa, mtu ambaye ukimmuliza leo kuwa atawafanya nini viongozi wa wabovu asema kuwa ingekuwa amri yangu ningewapiga risasi ili kwa vile kuna sheria basi sheria lazima ifuatwe.

Katika viongozi waliopo CDM kwa sasa mtu mwenye sifa hizo ni Mh.Tundu Lisu, lakini pia ana sifa za ziada; hebu angalia:

- Ana uchungu na rasilimali za nchi

- Sio rafiki wa watawala na vyombo vyake

- Ni jasiri hana woga hata kidogo

- Ni msomi

- Sio mwanasiasa kivile...

- Ana misimamo

- Ana maisha yasiyo na kashfa...kama zipo basi nile binadamu hatujakamilika - anajiheshimu

- Msikivu
 
Kazi yenu ni kuchonganisha wanachadema! Tundulissu ni mwana sheria mkuu
 
Better start thinking today than tomorrow.................Tundu Lissu hebu ukifika wakati jitokeza uwezo unao.....kikubwa ni kufuata utaratibu wa chama
 
kila mtu anafaa kwa urahisi na kila mtu anahaki kikatiba ya chadema so mwenye sifa za ziada atateuliwa kutwaa taji hilo
 
Tundu anafaa kuwa Rais kuliko zitto

tundu lissu kumlinganisha na zitto ni sawa na kumdhalilisha mkuu, tundu lissu amekomaa kisiasa na anaweza kujenga hoja za kiutuuzima pia.Sio zitto anasumbuliwa na unafiki, tamaa na usaliti mkubwa.
 
Huwa nakumbuka kauli ya mh rais wetu JK kipindi cha kampeni ya mwaka 2010 akiwa jimboni kwa mh TUNDU LISU alisema ni bora mkampa DR SLAA urais kuliko kumpa TUNDU LISU ubunge.
Hakika kikwete anamuogopa Lisu kupita maelezo. So Tundu Lusu akiwa rais hakika kikwete atahama nchi hii.
Nani anaikumbuka story ya mtu kukanyaga na kuisigasiga katiba ya Jamhuri ya Tanzania psle air port?
Ni hayo tu nawasilisha.
 
Uende kwenye Tume ya katiba ukatoe maoni yako, kwani katiba ya sasa haina sifa hizo kwa mgombea wa Urais.

LISU hafai hata kuiongoza familia yake, tunatafuta msaada wa kisheria kuinusuru familia yake.He is a BIG BLOW TO CDM
 
Lisu Msimguse kwanza uyo tumemuandalia kawizara flani 2015 may be later uko tutampa kwa sasa msiharibu mpango mzima
binafsi nalikubali sana ili jembe
 
Uchungu wa rasilimali Za nchi upi unaosema. Thibitisha.
Kwa kuwa Tundu lisu Ni Mwanasheria tulitegemea awe makini Katika kuongea lakini si hivyo Bali anaongozwa na hulka Yake anayoionyesha ambayo kila anayemsikiliza akiongea anamtambua kuwa Ni mtu aw namna gani
 
kwanini tusimchague le mutuz...atakua anatualika ikulu na kina wema sepetu tunakula bbq na kitimoto
 
Back
Top Bottom