Urais 2015: Mwigulu, January hoi

Urais 2015: Mwigulu, January hoi

mpiganiaukweli

Senior Member
Joined
Jul 16, 2014
Posts
107
Reaction score
27
Duru za siasa ndani ya chama cha mapinduzi zinaeleza papara, mbwembwe na kukosa umakini kumeua matarajio na future za vijana hao kisiasa na sasa si tu ndoto za urais kuyeyuka hata majimbo yao kuyatetea itakuwa ni kazi.

Kuhusu January makamba inaelezwa ni mtu mchanga kisiasa, uwezo mdogo uelewa mambo, matokeo mabaya ya kidato cha nne na sita, kujisikia na dharau inaelezwa ni vitu ambavyo vimemgharimu kiasi cha kufifisha matarajio yake.

Mwigulu Nchemba huyu inaelezwa papara, tamaa za kupitiliza za madaraka,mahusiano hasi na wajumbe wenzake wa sekretarieti na ufisadi aliouanza hivi karibuni wizara ya fedha wa kupokea rushwa toka kwa watoa huduma serikalini na kugharamia vituo viwili live mikutano ya Mwanza na matumizi makubwa ya fedha kwa baadhi ya wajumbe wa mkutano mkuu hayo yanaelezwa ni baadhi ya mambo yalimuondolea sifa.
Hivi sasa ndani ya chama chapuo linaelekezwa kwa Mwandosya, Pinda na Migiro.

Nawasilisha
 
Machozi ya watanzania iwalaani hadi vitukuu vyao. Hawa wana Chama Cha Mashetani kuwashabikia ni sawa na kumshabikia shetani. Wana CCM wote ni ukoo wenye laana. Tunaelekea wokovu wa kweli, na yeyote atakayejaribu kukwamisha wokovu wote, bahari itafunguka na kummeza.

Madhambi yao yote wanayoyanfaya gizani yanakuja kwenye mwanga wa alfajiri. Tumuombee Dr. Slaa atuvushe salama tukiwaacha nyuma huko wakikatana mapanga. Mwigulu kwa kutaka kumuua Dr. Slaa, Mungu amlaani. Natamani 2015 nimshike huyo mtu na kumhoji kwa kipindi cha mwaka mzika kabla ya kupata adhabu anayostahili. Damu ya watanzania imuandame daima
 
Kaka Mwandosya sahau. Migiro wakimweka basi wanataka madaraka yaende upinzani...
 
Hivi ni kweli watu kama Mwigulu na January wanataka urais? Kweli? Nina kaka yangu ni mwalimu wa Primary ana akili sana bali tatizo kuna saa anaugua maradhi ya akili NITAMSHAURI AGOMBEE URAISI NAJUA ATAWEZA!
 
Hawa vijana wa ccm wanapoteza muda wao huko mbele ya safari maana vijana wameamka ccm lazima iondoke madarakani.
 
Uzi huu umeletwa kwa lengo maalum lililojificha. Ni bandiko la kimkakati.
 
mambo sasa naona yamebadilika kuna wakati nilikuwa naona matusi mengi ndani ya JF yalikuwa yanatoka kwa wana Chadema lakini sasa naona matusi mengi ndani ya JF yanatoka kwa wana CCM
 
Hivi ni kweli watu kama Mwigulu na January wanataka urais? Kweli? Nina kaka yangu ni mwalimu wa Primary ana akili sana bali tatizo kuna saa anaugua maradhi ya akili NITAMSHAURI AGOMBEE URAISI NAJUA ATAWEZA!

huyo atafaa,ila usisahau kumwambia aseme wazee wamemwomba
 
Uzi huu umeletwa kwa lengo maalum lililojificha. Ni bandiko la kimkakati.

si mkakati,ni ukweli.Tatizo tumezoea kuficha ukweli,ukimuona mtu ana chongo basi utasema anakonyeza si chongo kama kilema!
 
Hivi bado tu mnamng'ang'ania huyu savimbi...alicho kifanya bado akiwashtui...kushiriki kwanjia moja au nyingine au kutoa au kuzushia watu shtuma za kigaidi wewe ni shetani mkubwa...sasa hili swala la urais hapa linatojkea wapi...ongelea kuhusu kutubu si kutaka urais...
 
Duru za siasa ndani ya chama cha mapinduzi zinaeleza papara, mbwembwe na kukosa umakini kumeua matarajio na future za vijana hao kisiasa na sasa si tu ndoto za urais kuyeyuka hata majimbo yao kuyatetea itakuwa ni kazi.
Kuhusu January makamba inaelezwa ni mtu mchanga kisiasa, uwezo mdogo uelewa mambo, matokeo mabaya ya kidato cha nne na sita, kujisikia na dharau inaelezwa ni vitu ambavyo vimemgharimu kiasi cha kufifisha matarajio yake.
Mwigulu Nchemba huyu inaelezwa papara, tamaa za kupitiliza za madaraka,mahusiano hasi na wajumbe wenzake wa sekretarieti na ufisadi aliouanza hivi karibuni wizara ya fedha wa kupokea rushwa toka kwa watoa huduma serikalini na kugharamia vituo viwili live mikutano ya Mwanza na matumizi makubwa ya fedha kwa baadhi ya wajumbe wa mkutano mkuu hayo yanaelezwa ni baadhi ya mambo yalimuondolea sifa.
Hivi sasa ndani ya chama chapuo linaelekezwa kwa mwandosya,pinda na migiro
Nawasilisha

Rais wa sasa ana matokeo mazuri??
 
Duru za siasa ndani ya chama cha mapinduzi zinaeleza papara, mbwembwe na kukosa umakini kumeua matarajio na future za vijana hao kisiasa na sasa si tu ndoto za urais kuyeyuka hata majimbo yao kuyatetea itakuwa ni kazi.
Kuhusu January makamba inaelezwa ni mtu mchanga kisiasa, uwezo mdogo uelewa mambo, matokeo mabaya ya kidato cha nne na sita, kujisikia na dharau inaelezwa ni vitu ambavyo vimemgharimu kiasi cha kufifisha matarajio yake.
Mwigulu Nchemba huyu inaelezwa papara, tamaa za kupitiliza za madaraka,mahusiano hasi na wajumbe wenzake wa sekretarieti na ufisadi aliouanza hivi karibuni wizara ya fedha wa kupokea rushwa toka kwa watoa huduma serikalini na kugharamia vituo viwili live mikutano ya Mwanza na matumizi makubwa ya fedha kwa baadhi ya wajumbe wa mkutano mkuu hayo yanaelezwa ni baadhi ya mambo yalimuondolea sifa.
Hivi sasa ndani ya chama chapuo linaelekezwa kwa mwandosya,pinda na migiro
Nawasilisha

Ni mapema sana kutoa uchambuzi kama huu,kumbuka upepo wa kisiasa hubadilika muda wo wote. Mwigulu Nchemba na january MAKAMBA wanazo kete na mbinu zao mahususi ambazo mimi na wewe hatuzijui,
 
Last edited by a moderator:
nasikia pia lusinde wa jimbo la mtera ndio atateuliwa na hicho chama
 
Rais ajaye atatokea mkoani Singida na ni moja kati ya wabunge wenye majimbo yaliyopo njia kuu iendayo Mwanza.
 
Back
Top Bottom