Pwembweleo
Member
- Mar 2, 2012
- 6
- 0
Mtu moja mcha Mungu alipewa nafasi ya kuomba kitu chochote kwa Mungu kwa sharti kuwa atakachoomba rafiki yake atapewa mara mbili yake. Jamaa akafikiri akaona akiomba kitu chochote kizuri mwenzake atamzidi yeye. Basi akaomba ang'olewe jicho ili mwenzake ang'olewe yote mawili. Akawa chongo na mwenzake kipofu.