Urafiki wa mwanamke na mwanaume

Urafiki wa mwanamke na mwanaume

Hapo itabidi ujilaumu wewe tu kwa aina ya Ke unaemchagua kuwa rafiki yako.. by the way, urafiki huu ni sawa na kutembea na muwa mkononi au kuweka toothpic kinywani, utajikuta umesha tafuna tuu
 
Inasikitisha kuona wanaume tunakimbia jukumu la kuwahudumia watoto wa kike.

Unajua tofautisha kumuhudumia dem wako na mahusiano baina ya marafiki, kama dem wako ww ni lazma uhudumie kini apa anaongelea marafiki, tena angalia ata circumstance alizoweka, unakuta unaweza ukawa unataka kumsaidia mtu anazingua, kama mm nakumbuka nilialikwa na mjomba wangu tukazurule saab hatujapishana sana kiumri na katika kuzungumza nikagundua mjomba wangu anaweza akamsaidia rafiki yangu flan ivi wa kike katika ajira ya uwalimu wa shule, sababu yy alipata ajira shule.ya private yenye upungufu wa walimu kwa mda huo, nikakurupuka chap kumpigia.

Nikamuomba aje apo tulipo, sikutaka kumuambia sababu kwasababu mjomba alitaka amuone kwanza mwenyewe kabla kumuambia chochote, sasa katika kuomba, mara sina nauli, nikamwambia ntakulipia, mara sijiskii vzuri, basi nakuja kwako mara ninawagen, the problem with women is that they all think everguy is after them lakini kunawengine urafiki tunauweza tu vzuri either kwasababu tunawapenz wetu au kwasababu hatuoni haja ya kutafta wapenz kwa mda huo
 
Mimi nilihapa kutofanya tena urafiki na mademu wa kibongo zaidi ya kupeana gegedo tu. Kuna kipindi nilikutana na mwanamke mmoja tulikuwa tunasoma University siku za nyuma. Tulifurahi kukutana tena, tukaanza urafiki wa kishikaji huku tukikumbushana ya chuoni na baadhi ya vituko vya chuo na marafiki zetu. Yakawa mazoea ya ukweli kama kaka na dada hivi. Bahati mbaya ikaja, kila huyu dada nikimualika mtoko LAZIMA atakuj na marafiki zake, au anaweza kunipigia simu ananiambia wikiendi anakuja, kumbe anakuja hajajiandaa (kama kuleta msosi wa mchango), utashitukia huyo kaja na timu nzima na kuuliza tunapika nini hao wenzangu wanakunywa Konyagi au Heineken. Nilikuwa naumia sana moyoni ila nilikuwa sina ubavu wa kumfukuza, mwanamme ilibidi nijikaze tu na kuingia hasara ya kufariji wageni nisiowajuwa na wasio na faida kwangu. Siku nikapanga mpango na demu wa pale mtaani kusingizia kuwa yeye ni demu wangu...nilimsimulia huyu demu kila kitu kuhusu huyu rafiki wa chuo jinsi anavyonitumia, akakubali kumkomesha kiaina. Siku aliyokuja yule rafiki wa chuo acha apandishiwe na kukunjwa kuwa anamuiba mchumba mtarajiwa, aisee nilifurahi kishenzi na kuacha yule demu anakunjwa maana nilijifanya sina nguvu ya kuingilia. Baada ya majirani kuingilia ndipo akaachwa yule demu na kuondoka hapo hapo. Usiku ananipigia simu na kunigombeza kwanini sikumuhusisha kuchagua mke mzuri eti nikiendelea na yule angenitia hasara siku za mbeleni. Nikamjibu tu yeye ni chaguo la moyo wangu na ndio ukawa mwisho wa urafiki wetu. Kwa sasa nina watoto wawili na demu aliyenifundisha maujanja ya kufukuza demu hasara.
Hahaha mweeee
 
Back
Top Bottom