Urafiki wa mwanamke na mwanaume

Urafiki wa mwanamke na mwanaume

pathfinder_tz

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2018
Posts
356
Reaction score
377
Binafsi naamin sana katika aina hii ya urafik..
Opposite sex always urafik wake unakuwa sio wa kinafiki like me + ke..
Lakini katika harakati zangu kibongo bongo naona kama hatuwez hivi..

mwanamke au msichana lazima ata take advantage kwa mwanaume kwa baadhi ya vitu especially kwenye kulipa bill, nauli nauli na zawadi zawadi..
Nimekuomba urafik bidada jus tu keep company...

Najua unashughuli zako za kukuingizia kipato na una movement zako kabla hata hatujaonana wala kujuana..

Nakuuliza uko free tuonane!? Unajibu ndio..
Nakuambia njoo bas niko sehemu flan nimechill so kama uko sawa u can join me..

Unaanza na lame excuses like ngoja niangalie kama nna nauli!? Au utanilipia pikipik!??

Bidada vitu vingine vidogovidogo maliza mwenyewe coz unavyonitajia vishida vyako vya ajabu ajabu kisa tu nimeomba kuonana na wewe...

What if kama nataka kukupa mchongo wa maana or what if kama kuna deal ya maana nataka kukukutanisha na wadau!?

Wakat mwingine usifanye mizinga iku define who u r!!!! Like yule dem anapaga mizinga balaa n stuffs like that..

By the way mtu kama mm nikikuita tuonane bas kila kitu kitakuwa juu yangu.. lakin kuna wenzangu na mm akikuita afu umletee habar za hela hela anakuona mchawi.. anakutupa..

So tafuteni sababu zingine ambazo wanaume hawata hisi negatively kuhusu nyinyi..

Af na nyie wana wake mnaojifanya relationship zenu zipo complicated pindi mnapokutana na wanaume wapya!!! Au mnajivika usingle wakati mna wapenz wenu mna kuwa mmetarget kitu gan!??

Msipende kuonekana waongo kwenye ishu za kawaida..
Urafiki ni kitu kikubwa chenye thaman sana so msije kukosa watu wa maana coz naamin urafik ndo unapelekea uchumba na relationship za maana..
Siku hiz wanaume wanataka mwanamke ambae yupo independent na anajimudu na ni mpambanaji..
Haijalish ni rafiki au ni mpenzi.. so usijirahisishe kwa mwanaume like huna kitu.. mi nachukia sana nikisikia hauna nauli au hauna vocha ya kunitafuta mpaka mm nikutafute..

Wakati mwingine mnakosa mambo mengi sana.. na ukiwa mrahisi sana unajua utavyotumika kwa mwanaume..
Msipende kuonekana mpo chini wadada..
 

Attachments

  • FB_IMG_1523115702330.jpeg
    FB_IMG_1523115702330.jpeg
    51.9 KB · Views: 82
Kweli kabisa,. Kisa marafik atataka kam n chakula umlipie sjui nn, yan sjui nan aliwachawiaga awa watu wa hivi. NB: sio wote
 
".....Urafiki ni kitu kikubwa chenye thamani sana so msije kukosa watu wa maana coz naamin urafiki ndio unapelekea uchumba na relationship za maana.....

Siku hizi wanaume wanataka mwanamke ambae yupo independent na anajimudu na ni mpambanaji....

Haijalishi ni rafiki au ni mpenzi..... so usijirahisishe kwa mwanaume like huna kitu.... mimi nachukia sana nikisikia hauna nauli au hauna vocha ya kunitafuta mpaka mimi nikutafute.....

Wakati mwingine mnakosa mambo mengi sana.. na ukiwa mrahisi sana unajua utavyotumika kwa mwanaume.....

Msipende kuonekana mpo chini wadada....."


Nimependa hivi vipengele... Wanawake tubadilike...
 
Mimi nilihapa kutofanya tena urafiki na mademu wa kibongo zaidi ya kupeana gegedo tu. Kuna kipindi nilikutana na mwanamke mmoja tulikuwa tunasoma University siku za nyuma. Tulifurahi kukutana tena, tukaanza urafiki wa kishikaji huku tukikumbushana ya chuoni na baadhi ya vituko vya chuo na marafiki zetu. Yakawa mazoea ya ukweli kama kaka na dada hivi.

Bahati mbaya ikaja, kila huyu dada nikimualika mtoko LAZIMA atakuj na marafiki zake, au anaweza kunipigia simu ananiambia wikiendi anakuja, kumbe anakuja hajajiandaa (kama kuleta msosi wa mchango), utashitukia huyo kaja na timu nzima na kuuliza tunapika nini hao wenzangu wanakunywa Konyagi au Heineken.

Nilikuwa naumia sana moyoni ila nilikuwa sina ubavu wa kumfukuza, mwanamme ilibidi nijikaze tu na kuingia hasara ya kufariji wageni nisiowajuwa na wasio na faida kwangu. Siku nikapanga mpango na demu wa pale mtaani kusingizia kuwa yeye ni demu wangu...nilimsimulia huyu demu kila kitu kuhusu huyu rafiki wa chuo jinsi anavyonitumia, akakubali kumkomesha kiaina.

Siku aliyokuja yule rafiki wa chuo acha apandishiwe na kukunjwa kuwa anamuiba mchumba mtarajiwa, aisee nilifurahi kishenzi na kuacha yule demu anakunjwa maana nilijifanya sina nguvu ya kuingilia. Baada ya majirani kuingilia ndipo akaachwa yule demu na kuondoka hapo hapo.

Usiku ananipigia simu na kunigombeza kwanini sikumuhusisha kuchagua mke mzuri eti nikiendelea na yule angenitia hasara siku za mbeleni. Nikamjibu tu yeye ni chaguo la moyo wangu na ndio ukawa mwisho wa urafiki wetu. Kwa sasa nina watoto wawili na demu aliyenifundisha maujanja ya kufukuza demu hasara.
 
Mi nipotayari kufanya urafiki ila ajue mwishoe nitamgegeda tu . Siwezi mwacha salama mtu anayependa hela yangu ila ispipokuwa jinsia ya kiume. Jinsia ya kike ni kuwapopoa tu na kukaa pembeni.
 
Ukiona mwanamke kakupigia simu na kukwambia "baby nikwambie kitu", hapo zima simu na kutoa laini sababu mwisho wa siku atakuomba ela, mjini tunaishi kwa calculator,
 
Hakuna urafiki kati ya mwanaume na mwanamke. Lazima tu mwisho wa siku mgegedo uendelee. Hii yote ni kutokana na mademu kuwa cheap sana.

Unazipenda hela zangu, hata mm nazipenda pia kwahyo lazima mgegedo tu ili ufaidi matumizi.

No Free Lunch in paris
 
Tuache unafiki. Kwani maana ya urafiki ni nini?
Sitetei kufujana, la hasha. Kama umeniita sehemu na siko vizuri nikakope au nikudanganye? Kwa kuwa wewe ni rafiki yangu ntakwambia ukweli kwamba hapa nipo vibaya, hapo kutokana na kiwango cha ueafiki wetu tutaona tutoke au tupange siku ingine. Haijalishi jinsia kwenye hilo.

Tuna marafiki wanaume wenzetu wanatabia hizohizo, mbona hatuwasemi hao? Hakuna mwanaume kila mkitoka anakuachia mzigo wa kulipa kila kitu? Haijalishi anapesa au hana? Mbaya zaidi kuna siku anaanzisha wazo la kutoka yeye wakati anategemea wewe ndio utasimamia kila kitu.

Urafiki unathamani sana, ndio maana inabidi kuwa makini kwenye kuchagua marafiki.
Haya matatizo mengine ni hulka na tabia ya mtu, hayahusiani na jinsia. Japo baadhi ya wenzetu kinachowaponza ni ile kuamini kwamba wanamtaji ambao kila mwanaume angependa kuwekeza.

Mwisho, hiyo picha ni kielelezo cha udhalilishaji wa wanawake.
 
Back
Top Bottom