Hivi hawa ni marafiki wa kweli au ni wa mashaka?, wapo wananwake wa hivi pindi wakiwa na wanaume wao, wanawabembeleza lakini wana siri kubwa moyoni ya kuwatafunia mali zao tu,
na mimi nikisema wanaume wengi wana urafiki wa sampuli hii je utakataa? kuvaa ngozi ya mwana kondoo nadni mbwa mwitu......(hapa sina maana ya penzi la pesa tu bali penzi la ulaghai kwa ujumla wake)
na mimi nikisema wanaume wengi wana urafiki wa sampuli hii je utakataa? kuvaa ngozi ya mwana kondoo nadni mbwa mwitu......(hapa sina maana ya penzi la pesa tu bali penzi la ulaghai kwa ujumla wake)
Hivi hawa ni marafiki wa kweli au ni wa mashaka?, wapo wananwake wa hivi pindi wakiwa na wanaume wao, wanawabembeleza lakini wana siri kubwa moyoni ya kuwatafunia mali zao tu,
Ukimwona mkeo anakunyenyekea na kukubembeleza saaaaaaana, hata kwa jambo dogo tu, basi ujue kuna walakini......! Lazima kuna kitu ndai ya pazia! So, be very carefull......!