DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,652
- 2,642
Wakuu.
Raila na Pombe hawakukutana barabarani kwa kuwa urafiki wao ni zaidi ya masuala ya kifamilia.
Hawa jamaa huwa wanatembeleana kila mara ktk shida na raha na hata kuapishwa Rais Pombe mshikaji wake toka Kenya alikuwepo.
Natoa rai kwa rais wangu kunyata kidogo kwani urafiki wao unaweza kutusababishia 'diplomacy fear' na utata wa uhusiano ama 'fear of unknown' kwa kuwa Raila ni mpinzani mkubwa wa Serikali ya Jubilee inayoongozwa na Uhuru Kenyatta.
Kuvunja urafiki na mtu ni ngumu ila Magufuli ajaribu kuweka ktk mizani fikra za Uhuru kuelekea uchaguzi ujao,upinzani toka kwa Raila na hatma ya uhusiano wa kidiplomasia.
Vinginevyo kudumisha udugu wao wawasiliane kwa barua kupitia posta.
Samahani simchagulii Rais Marafiki.
Raila na Pombe hawakukutana barabarani kwa kuwa urafiki wao ni zaidi ya masuala ya kifamilia.
Hawa jamaa huwa wanatembeleana kila mara ktk shida na raha na hata kuapishwa Rais Pombe mshikaji wake toka Kenya alikuwepo.
Natoa rai kwa rais wangu kunyata kidogo kwani urafiki wao unaweza kutusababishia 'diplomacy fear' na utata wa uhusiano ama 'fear of unknown' kwa kuwa Raila ni mpinzani mkubwa wa Serikali ya Jubilee inayoongozwa na Uhuru Kenyatta.
Kuvunja urafiki na mtu ni ngumu ila Magufuli ajaribu kuweka ktk mizani fikra za Uhuru kuelekea uchaguzi ujao,upinzani toka kwa Raila na hatma ya uhusiano wa kidiplomasia.
Vinginevyo kudumisha udugu wao wawasiliane kwa barua kupitia posta.
Samahani simchagulii Rais Marafiki.