Tatizo ni kwamba asilimia kubwa ya Wanaume huwa wanaangalia mtizamo wa nje, wanataka Mwanamke mwenye Chura, miguu mizuri n.k, na baadhi ya Wanawake wanaangalia uwezo wa Mwanaume kiuchumi n.k. kwahiyo muda wa kumsoma mtu tabia hakuna wote wapo kimaslahi.
Despite everything siku mkianza kuishi pamoja ndo mtajuana vizuri. Nyanduaneni miaka kumi, sawa but siku mkiishi pamoja under the same roof ndo mtajuana vizuri.
Friendship is important but it is important to know that nothing remains the same so msibaki washkaji muda mrefu bila ndoa..... Ile ladha ya ndoa itachakachuliwa na mazoea.