Upweke

dada ni kweli uu mpweke lakini weka vigezo vyako na wewe vyako
 
Mimi siko serious sana ila kama unaweza kuni shape nikawa serious karibu...
 
Serious im i but nataka nijue how serious your..! Wat you like to be done
 
Kuna bwana mmoja jana alianzisha thread ya kutafuta girlfriend aliye serious...nitakuwekea link ili mkutane kwa kuwa mahitaji yenu yanafanana na yamekuja wakati mmoja!
 
jamani wana jf natafuta boyfriend lakin awe serious na relation

Mimi nipo serious ila ninatatizo la kulewa nikitumia vyakula vyenye asili ya ngano.

Ukiweza kunivumilia karibu.
 
Hivi ushajua hata kujibu PM?

Kwa idadi ya post zako utaruhusiwa kutuma pm?

btw, Tupo wengi tunaokutaka! lol
 
jieleze angalau kidogo...
 
haya haya wanaume changamkieni fursa hiyo.Chipsi Yai upo wapi?
 
Jamani wana Jf natafuta boyfriend lakini awe serious na relation.

Ni sifa,kitu gani ulichojaliwa wewe ambacho wanawake,mabinti,wasichana mwenzio hawana??Naomba unijibu ili nionyeshe userious wangu kwako.
 
Mbona wanaotafuta moboifrendi,magerofrendi,wame au wake wengi huwa na ID mpya? NIJUZENI WAKUU....
 
Kama upo serious weka picha tukuone
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…