hasan124
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 716
- 128
Huu ndio upuuzi wa leo kutoka kwa Masoud Kipanya fuatilia kwa makini halafu tafakari kwa kina ewe Mtanzania mwenzangu!View attachment 46912
Duh! Kweli ww bado umetawaliwa na zidumu fikra za mwenyekiti wa CcMfsdi.....inamaana bado hujasoma tu Alama za nyakati?! Wakati wa ukombozi Ni sasa BIG UP Masoud KP na R.I.P CcMfsd.