Upuuzi wa Kipanya

Upuuzi wa Kipanya

Keykey

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2006
Posts
3,251
Reaction score
750
kp_Aug_12.jpg
attachment.php

Kwa hisani ya MICHUZI
 
halafu
unawashwa kwa siku moja tu...
au ndo watauacha kimoja...
 
yupo vizur cna,ccm akipita hapo lazima iume
 
Badilisha jina la mada hii, huo sio upuuzi. Big up kipanya!
 
ni kivumishi.. wewe ndio umeelewa vibaya......wewe mtoto wa kishua nini? manake watoto wa kitaa tushaelewana hapo
<br /><br />
<br /><br />
hahahahaaa! <img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/smile.png" border="0" alt="" title="Smile" smilieid="307" class="inlineimg" /> hapana bhana. Chumvi iliyotumika imezidi. Teheteheee! Mi borntown mbishi tu. 😉
 
hahahaha....anadhan umekosea!! atembelee jukwaa la KP atagundua uko sahihi
ni kivumishi.. wewe ndio umeelewa vibaya......wewe mtoto wa kishua nini? manake watoto wa kitaa tushaelewana hapo
 
Nadhani ccm hawasomi katuni kama hizi kwani wangekua wanasoma ungekuta washabadilika na kwenda na alama za nyakati
 
Nadhani ccm hawasomi katuni kama hizi kwani wangekua wanasoma ungekuta washabadilika na kwenda na alama za nyakati

Ngudu siyo kama Hawazisomi wanazisoma lakini hawazielewi na kujifanya hawazioni kwa sababu matatizo ya Watanzania wao ni mtaji wa kuzidi kujiweka madarakani na kuchota fedha zetu za madafu wakitumia wawekezaji uchwara.
 
Huyu jamaa kwa kweli ni kichwa na hizi katuni zake zinafikirisha kwa kweli...
 
Back
Top Bottom