ukiendelea kubisha nitalembea album zima la koffi hewani, bora ukuwe mpole tu kama sredi inavyosema. halaf mbona Keren Happuch simuoni tena aisee! nimeanza kupoteza nguvu za kutype hafla!
Huu wimbo uliimbwa na CPU sambamba na Asha D
They always see but CPU no need ya kuogopa kwani una nia mbaya???
Ongea ukweli.... I wont feel bad kwamba sikuhusika sana ktk utunzi, yaani mimi kukubembeleza wakati unamlilia Lizzy ndo ionekane ilikua sambamba???
Uifanyie kazi sasaWl-noted...nimeipenda hii advice.
Kwa faida ya kina kaka embu wadada tujuzane mnapenda wapenzi/wenzi wenu waweje linapokuja swala la upole.Hapa siongelei ule upole wa muda kwamba ikitokea ugomvi mara moja moja anaweza kujishusha ...naongelea ule upole ambao ndio tabia yake.Yani kila kitu ye anakua mdogo tu....hata kama kosa sio lake anakua mdogo...hata kama anaonewa anakua mdogo!!
Binafsi mi naogopa kua na mtu wa aina hii kwenye mahusiano kwasababu najijua ni mkorofi kidogo kwahiyo naona kama ntamuonea sana.Iwe kwa makusudi au la najua mwisho wa siku ntaishia kujisikia vibaya na ntakua nimeshamuonea tayari!!Napenda mtu ambae nikikosea atanipa live na sio kwakunibembeleza maana wakati mwingine mtu akikwambia kitu kwa utaratibu ni rahisi kupotezea ila ukiona kakasirika kweli usikilizaji na uelewaji unaongezeka!!
Michango tafadhali......
Mdogo mdogo basi, si unajua tena . . . .
Haya bana umenipotezea:caked::caked:
Sijakupotezea banaa lolHaya bana umenipotezea
Halafu niliona mtu kama wewe juzi Sinza lol!!!Haya bana umenipotezea
Ohhh hubby..nimekusamehe kwasababu nakupenda sana!Usirudie tena lakini!Basi nimetubu mamii, usiende kwa kolokuwini
Kosa gani mimi nililokukosea wanitupa
Mrembo mwenye hadhi, pokea tena waraka
Usome na kuhifadhi, Yote nilioyoyandika
Nilipi lililokuudhi, Hebu niambie haraka
Fanya haraka muhibu, unipe hili hakika
Uneleze taratibu, Nipate kutoa shaka
Ni ipi hiyo sababu, Ilokupa kunepuka
Muhibu Lizzy nasema nawe, Hebu mwepushe shetani
Nyonda sinizuzuwe, Kanitia fedhehani
Toka kuniepuka wewe, Nimengia matesoni
Usione ni mzaha, mwenzio ni maradhini
Umenitia jeraha, La huba ndani kwa ndani
Naishi sina furaha, Kwa yondi lako Fulani
Kukurai si aibu, maadamu nakutaka
Na lau kama muhibu, Liko kosa limetuka
Basi mwana nimetubu, Msamaha nautaka
Kaditama tafadhali, wata kunihangiasha
Mwenzio kucha silali, Kwa huba huwa nakesha
Kumbuka na jambo hili, Kwako mahaba sijesha
Mkeshaji, hii Avatar yako ulitoa wapi??
There are currently 25 users browsing this thread. (18 members and 7 guests)
Mnaikimbiza mno hii thread hao niliowakoleza wino
Ohhh!! That easy??Ohhh hubby..nimekusamehe kwasababu nakupenda sana!Usirudie tena lakini!