GE2025 Upinzani wa Tanzania umepoteza golden opportunity dhidi ya CCM

GE2025 Upinzani wa Tanzania umepoteza golden opportunity dhidi ya CCM

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

econonist

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
22,138
Reaction score
32,715
Vyama vya upinzani vya Tanzania ukiondoa chama cha CHADEMA Vimeonesha wazi ya kwamba havipo kwaajili ya kuiondoa CCM madarakani bali vipo kwaajili ya kukifanya chama mapinduzi kuendelea kuwa madarakani.

Vyama vya upinzani vilikuwa na nafasi adhimu ya kukibana chama Cha CCM kikae pamoja nao na kufanya mabadiliko makubwa kabla ya kuingia kwenye uchaguzi kwa vyama vyote vya upinzani Kugoma kusign kanuni za maadili ya uchaguzi. Kitendo Cha vyama vya upinzani kukataa kusaini hizo kanuni kungepelekea CCM kushiriki uchaguzi pekee yake kitu ambacho kingekuwa kigumu kwao hivyo wangeingia kwenye mtego wa aidha CCM waende wenyewe kwenye uchaguzi au wasitishe mchakato wa uchaguzi mpaka reforms zifanyike.

Ila jambo la kushangaza wapinzani wakasema mhuni hasusiwi au wengine wakasema watalinda kura. Sasa unahangaika kulinda kura wakati ulikuwa na fursa ya Kugoma kusaini hizo kanuni ili uweke mazingira mazuri yasiyo kalazimisha kulinda hizo kura?. Wengine baada ya kusaini zile Kanuni wakaanza kulia kwamba zifanyiwe marekebisho. Kwakweli upinzani mmetuangusha wananchi.

Niseme tu kitendo Cha vyama vya upinzani kusaini kanuni za uchaguzi kimetoa ruhusa kwa CCM kuendelea na uchakakuaji wake maana Vyama vyote vimeridhia kanuni hazina shida. Yeyote anayesema atapambana huko huko ulingoni ni mwongo. Kwanini upambane wakati fursa ya kuweka mazingira sahihi ulikuwa nayo ila ukaiacha? Kwanini ulinde kura wakati fursa ya kuweka mazingira bora ya kisheria ulikuwa nayo? Shame on you upinzani.

Vyama vya upinzani isipokuwa CHADEMA, vimeonesha unafiki na uoga kwa CCM. Nakipongeza chama Cha CHADEMA Kwa kukataa kushiriki uchaguzi huu maana historia itawakumbuka kama chama kilichokataa kuwa mtumwa wa CCM .
 
WATANZANIA WANA IQ NDOGO KULIKO NCHI ZOTE ZA AFRIKA MASHARIKI.

Na Thadei Ole Mushi.

Niliwahi kufundisha kidogo hapa kuhusu uwezo wa akili au kitaalamu (IQ) yaani Hisa ya akili.

Mwaka jana kuna ripoti ilitoka ikiwa inaitaja Tanzania kushika nafasi ya 9 katika nchi zenye watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri.

Kwa mujibu wa orodha hiyo,Tanzania inashika nafasi ya 9 wananchi wake wakiwa na uwezo wa kufikiri (IQ) 72, Ghana inashika nafasi ya 8 kwa wananchi wake kuwa na kiwango cha chini cha IQ yaani 71. Nafasi ya saba ni Nigeria (67), nafasi ya sita ni Guinea (66), nafasi ya tano ni Zimbabwe (66), nafasi ya nne ni DR Congo (65), nafasi ya tatu ni Sierra Leone (64), nafasi ya pili ni Ethiopia (63) na nafasi ya kwanza ni Equatorial Guinea (59).Katika nchi zote hapo Tanzania pekee ndio inayojitokeza kwenye orodha hiyo ikiwa imetokea ukanda wa Africa Mashariki.

Kuna wengi watashindwa kupata tafsiri ya kilichomo kwenye mabano yaani number zilizomo kwenye mabano hivyo ni vizuri nikafafanua tena hili.

Mwaka 1904 mwanasaikolojia Alfred Banet alitambulisha nadharia ya namna ya kupima Uwezo wa mtu wa kufiki (IQ) Baadaye 1979 alitokea mtu mwingine aliyekuja kuboresha kidogo tu nadharia hii anaitwa Hilgard huyu aliainisha viwango vya akili ya mwanadamu.

Wananadharia hii kwa pamoja hawajawahi kutofautina na maana halisi ya Hisa ya akili. Wote wanakubaliana kuwa hisa ya akili kipimo cha maendeleo ya kitaaluma kwa kuwianisha UMRI wa kuzaliwa wa mtoto na UMRI wa akili.

Ili uweze kupata hisa ya akili ya mtu unatakiwa uchukue UMRI wa akili ×100 halafu gawanya kwa UMRI wa kuzaliwa.

UMRI wa akili hupatikana kwa kukadiria matendo ayafanyayo mtu. Kwa mfano nyumbani una mtoto wa Miaka 10 lakini matendo yake na uwezo wake unalingana na mtoto wa Miaka 15 basi miaka hiyo 15 ndio UMRI Wake kiakili hivyo utachukua (15×100 ) ÷ 10 = 150.

Nini tafriri yake? Wanasaiokolojia hawa katika nadharia hii wameonyesha pia matokeo ya ukokotoaji kwa mfano hapo jibu tumepata ni 150 mtoto huyu atakuwa ni mwenye kipaji maalumu kwani hawa huanzia 139+ .

Chini ya hapo 129-139 ni wenye Akili za juu sana sana, 110-119 hawa wana akili za juu,90-109 wastani, 80-89 wapo chini ya wastani na 70-79 wana akili duni, chini ya 70 hawa wana mtindio wa ubongo (tahira).

Tunapozungumzia hisa ya akili hatumaanishi uwezo alionao mtu katika kukokotoa hisabati au kujibu maswali ya physics kwa ufasaha bali ni ule uwezo wa mtu kutafsiri na kuchambua taarifa mbalimbali zinazofikishwa kwenye ubongo kitaalamu huitwa ABSTRACT REASONING.

Kwa maana hiyo ukichukua mtanzania ukamweka kwenye kundi la wakenya, wanyarwanda nk basi atashika nafasi ya Mwisho katika kutafsiri na kupata ufahamu kwa mambo ambayo yatakuwa mbele yao.

Kuwa na hisa ndogo ya akili hakutokani na kukosa tu elimu ya Darasani japokuwa nayo huchangia bali hutokana na sababu nyingine nyingi kama vile Lishe duni, afya duni, aina ya genes tunazorithi toka kwa mababu zetu nk.

Dr James Watson aliwahi kusema " black people are less intelligent than white people" Huyu Dr alifanya justification ya argument yake kwa kusema kuwa ujinga ni kitu cha kurithi na ni kama ugonjwa. Hili limeshawahi kudhihirishwa na nadharia nyingine nyingi za kisayansi na za kisaikolojia.

Tuangalie sasa ni mambo gani ambayo hata hivyo yanaweza kuwa ni ushahidi wa ujinga wetu:-

1. Pitia scandal ya UPATU ya DECI.

2. Agalia jinsi ukawa ilivyomtukana Lowassa na baadaye wanamsafisha.

3. Angalia jinsi babu wa Loliondo alivyo tuburuza

4. Angalia michango ya wabunge wetu bungeni na jinsi tunavyowashangilia.

5. Angalia rasilimali tulizonazo na uchumi wetu kama vinaendana.

6. Angalia kwa nini Sumaye alihamia Chadema na bado tunaendelea kushangilia na kupiga makofi

Kuna mambo mengi tu yanayodhihirisha ujinga wetu hata wewe unaweza kuyaongeza katika huo mtiririko.Hata comment yako pia inaweza kukutambulisha aina ya IQ uliyonayo.

Ole Mushi.

"Ninanukuu"
 
Vyama vya upinzani vya Tanzania ukiondoa chama cha CHADEMA Vimeonesha wazi ya kwamba havipo kwaajili ya kuiondoa CCM madarakani bali vipo kwaajili ya kukifanya chama mapinduzi kuendelea kuwa madarakani.

Vyama vya upinzani vilikuwa na nafasi adhimu ya kukibana chama Cha CCM kikae pamoja nao na kufanya mabadiliko makubwa kabla ya kuingia kwenye uchaguzi kwa vyama vyote vya upinzani Kugoma kusign kanuni za uchaguzi. Kitendo Cha vyama vya upinzani kukataa kusaini hizo kanuni kungepelekea CCM kushiriki uchaguzi pekee kitu ambacho kingekuwa kigumu kwao hivyo wangeingia kwenye mtego wa Aidha waende wenyewe au wasitishe mchakato wa uchaguzi mpaka reforms zifanyike. Cha kushangaza wapinzani wakasema mhuni hasusiwi au wengine wakasema watalinda kura. Sasa unahangaika kulinda kura wakati ulikuwa na fursa ya Kugoma kusaini hizo kanuni ili uweke mazingira mazuri yasiyo kalazimisha kulinda hizo kura.

Niseme tu kitendo Cha vyama upinzani kusaini kanuni za uchaguzi kimetoa ruhusa kwa CCM kuendelea na uchakakuaji wake maana Vyama vyote vimeridhia kanuni hazina shida. Yeyote anayesema atapambana huko huko ulingoni ni mwongo. Kwanini upambane wakati fursa ya kuweka mazingira sahihi ulikuwa nayo ila ukaiacha?

Vyama vya upinzani Vimeonesha unafiki na uoga kwa CCM. Nakiopongeza chama Cha CHADEMA Kwa kutaa kushiriki uchaguzi huu maana historia itawakumbuka kama chama kilichokataa kuwa mtumwa wa CCM .

Hapa
 

Attachments

WATANZANIA WANA IQ NDOGO KULIKO NCHI ZOTE ZA AFRIKA MASHARIKI.

Na Thadei Ole Mushi.

Niliwahi kufundisha kidogo hapa kuhusu uwezo wa akili au kitaalamu (IQ) yaani Hisa ya akili.

Mwaka jana kuna ripoti ilitoka ikiwa inaitaja Tanzania kushika nafasi ya 9 katika nchi zenye watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri.

Kwa mujibu wa orodha hiyo,Tanzania inashika nafasi ya 9 wananchi wake wakiwa na uwezo wa kufikiri (IQ) 72, Ghana inashika nafasi ya 8 kwa wananchi wake kuwa na kiwango cha chini cha IQ yaani 71. Nafasi ya saba ni Nigeria (67), nafasi ya sita ni Guinea (66), nafasi ya tano ni Zimbabwe (66), nafasi ya nne ni DR Congo (65), nafasi ya tatu ni Sierra Leone (64), nafasi ya pili ni Ethiopia (63) na nafasi ya kwanza ni Equatorial Guinea (59).Katika nchi zote hapo Tanzania pekee ndio inayojitokeza kwenye orodha hiyo ikiwa imetokea ukanda wa Africa Mashariki.

Kuna wengi watashindwa kupata tafsiri ya kilichomo kwenye mabano yaani number zilizomo kwenye mabano hivyo ni vizuri nikafafanua tena hili.

Mwaka 1904 mwanasaikolojia Alfred Banet alitambulisha nadharia ya namna ya kupima Uwezo wa mtu wa kufiki (IQ) Baadaye 1979 alitokea mtu mwingine aliyekuja kuboresha kidogo tu nadharia hii anaitwa Hilgard huyu aliainisha viwango vya akili ya mwanadamu.

Wananadharia hii kwa pamoja hawajawahi kutofautina na maana halisi ya Hisa ya akili. Wote wanakubaliana kuwa hisa ya akili kipimo cha maendeleo ya kitaaluma kwa kuwianisha UMRI wa kuzaliwa wa mtoto na UMRI wa akili.

Ili uweze kupata hisa ya akili ya mtu unatakiwa uchukue UMRI wa akili ×100 halafu gawanya kwa UMRI wa kuzaliwa.

UMRI wa akili hupatikana kwa kukadiria matendo ayafanyayo mtu. Kwa mfano nyumbani una mtoto wa Miaka 10 lakini matendo yake na uwezo wake unalingana na mtoto wa Miaka 15 basi miaka hiyo 15 ndio UMRI Wake kiakili hivyo utachukua (15×100 ) ÷ 10 = 150.

Nini tafriri yake? Wanasaiokolojia hawa katika nadharia hii wameonyesha pia matokeo ya ukokotoaji kwa mfano hapo jibu tumepata ni 150 mtoto huyu atakuwa ni mwenye kipaji maalumu kwani hawa huanzia 139+ .

Chini ya hapo 129-139 ni wenye Akili za juu sana sana, 110-119 hawa wana akili za juu,90-109 wastani, 80-89 wapo chini ya wastani na 70-79 wana akili duni, chini ya 70 hawa wana mtindio wa ubongo (tahira).

Tunapozungumzia hisa ya akili hatumaanishi uwezo alionao mtu katika kukokotoa hisabati au kujibu maswali ya physics kwa ufasaha bali ni ule uwezo wa mtu kutafsiri na kuchambua taarifa mbalimbali zinazofikishwa kwenye ubongo kitaalamu huitwa ABSTRACT REASONING.

Kwa maana hiyo ukichukua mtanzania ukamweka kwenye kundi la wakenya, wanyarwanda nk basi atashika nafasi ya Mwisho katika kutafsiri na kupata ufahamu kwa mambo ambayo yatakuwa mbele yao.

Kuwa na hisa ndogo ya akili hakutokani na kukosa tu elimu ya Darasani japokuwa nayo huchangia bali hutokana na sababu nyingine nyingi kama vile Lishe duni, afya duni, aina ya genes tunazorithi toka kwa mababu zetu nk.

Dr James Watson aliwahi kusema " black people are less intelligent than white people" Huyu Dr alifanya justification ya argument yake kwa kusema kuwa ujinga ni kitu cha kurithi na ni kama ugonjwa. Hili limeshawahi kudhihirishwa na nadharia nyingine nyingi za kisayansi na za kisaikolojia.

Tuangalie sasa ni mambo gani ambayo hata hivyo yanaweza kuwa ni ushahidi wa ujinga wetu:-

1. Pitia scandal ya UPATU ya DECI.

2. Agalia jinsi ukawa ilivyomtukana Lowassa na baadaye wanamsafisha.

3. Angalia jinsi babu wa Loliondo alivyo tuburuza

4. Angalia michango ya wabunge wetu bungeni na jinsi tunavyowashangilia.

5. Angalia rasilimali tulizonazo na uchumi wetu kama vinaendana.

6. Angalia kwa nini Sumaye alihamia Chadema na bado tunaendelea kushangilia na kupiga makofi

Kuna mambo mengi tu yanayodhihirisha ujinga wetu hata wewe unaweza kuyaongeza katika huo mtiririko.Hata comment yako pia inaweza kukutambulisha aina ya IQ uliyonayo.

Ole Mushi.

"Ninanukuu"
Yani Gilbert A Massawe alimuua huyu mwamba kikatili.
 
Vyama vya upinzani vya Tanzania ukiondoa chama cha CHADEMA Vimeonesha wazi ya kwamba havipo kwaajili ya kuiondoa CCM madarakani bali vipo kwaajili ya kukifanya chama mapinduzi kuendelea kuwa madarakani.

Vyama vya upinzani vilikuwa na nafasi adhimu ya kukibana chama Cha CCM kikae pamoja nao na kufanya mabadiliko makubwa kabla ya kuingia kwenye uchaguzi kwa vyama vyote vya upinzani Kugoma kusign kanuni za maadili ya uchaguzi. Kitendo Cha vyama vya upinzani kukataa kusaini hizo kanuni kungepelekea CCM kushiriki uchaguzi pekee yake kitu ambacho kingekuwa kigumu kwao hivyo wangeingia kwenye mtego wa aidha CCM waende wenyewe kwenye uchaguzi au wasitishe mchakato wa uchaguzi mpaka reforms zifanyike.

Ila jambo la kushangaza wapinzani wakasema mhuni hasusiwi au wengine wakasema watalinda kura. Sasa unahangaika kulinda kura wakati ulikuwa na fursa ya Kugoma kusaini hizo kanuni ili uweke mazingira mazuri yasiyo kalazimisha kulinda hizo kura?. Wengine baada ya kusaini zile Kanuni wakaanza kulia kwamba zifanyiwe marekebisho. Kwakweli upinzani mmetuangusha wananchi.

Niseme tu kitendo Cha vyama vya upinzani kusaini kanuni za uchaguzi kimetoa ruhusa kwa CCM kuendelea na uchakakuaji wake maana Vyama vyote vimeridhia kanuni hazina shida. Yeyote anayesema atapambana huko huko ulingoni ni mwongo. Kwanini upambane wakati fursa ya kuweka mazingira sahihi ulikuwa nayo ila ukaiacha? Kwanini ulinde kura wakati fursa ya kuweka mazingira bora ya kisheria ulikuwa nayo? Shame on you upinzani.

Vyama vya upinzani isipokuwa CHADEMA, vimeonesha unafiki na uoga kwa CCM. Nakipongeza chama Cha CHADEMA Kwa kukataa kushiriki uchaguzi huu maana historia itawakumbuka kama chama kilichokataa kuwa mtumwa wa CCM .
Zitto ni mtu ambae anauwezo mkubwa sana ,na nimuona angeenda mbali sana katika taifa achana na wazee wa vyama vingine kama cheyo ,sijui nini hapa kati kilimkumba ,kwa kweli watu wa Kigoma tunalikosea sana Taifa hili , ukiangalia Sura zote za machwa papa ni ndugu zetu kutoka kigoma mfano

Baba levo
Mwijaku
Diamond
Kafulilia n.k

Sio tu katika zama hizi , tumekua na viongozi wengi kutoka kigoma ila wamekua daily sariti juhudi za mapambano , kigoma hii laana itaendelea kututafuna tu
 
WATANZANIA WANA IQ NDOGO KULIKO NCHI ZOTE ZA AFRIKA MASHARIKI.

Na Thadei Ole Mushi.

Niliwahi kufundisha kidogo hapa kuhusu uwezo wa akili au kitaalamu (IQ) yaani Hisa ya akili.

Mwaka jana kuna ripoti ilitoka ikiwa inaitaja Tanzania kushika nafasi ya 9 katika nchi zenye watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri.

Kwa mujibu wa orodha hiyo,Tanzania inashika nafasi ya 9 wananchi wake wakiwa na uwezo wa kufikiri (IQ) 72, Ghana inashika nafasi ya 8 kwa wananchi wake kuwa na kiwango cha chini cha IQ yaani 71. Nafasi ya saba ni Nigeria (67), nafasi ya sita ni Guinea (66), nafasi ya tano ni Zimbabwe (66), nafasi ya nne ni DR Congo (65), nafasi ya tatu ni Sierra Leone (64), nafasi ya pili ni Ethiopia (63) na nafasi ya kwanza ni Equatorial Guinea (59).Katika nchi zote hapo Tanzania pekee ndio inayojitokeza kwenye orodha hiyo ikiwa imetokea ukanda wa Africa Mashariki.

Kuna wengi watashindwa kupata tafsiri ya kilichomo kwenye mabano yaani number zilizomo kwenye mabano hivyo ni vizuri nikafafanua tena hili.

Mwaka 1904 mwanasaikolojia Alfred Banet alitambulisha nadharia ya namna ya kupima Uwezo wa mtu wa kufiki (IQ) Baadaye 1979 alitokea mtu mwingine aliyekuja kuboresha kidogo tu nadharia hii anaitwa Hilgard huyu aliainisha viwango vya akili ya mwanadamu.

Wananadharia hii kwa pamoja hawajawahi kutofautina na maana halisi ya Hisa ya akili. Wote wanakubaliana kuwa hisa ya akili kipimo cha maendeleo ya kitaaluma kwa kuwianisha UMRI wa kuzaliwa wa mtoto na UMRI wa akili.

Ili uweze kupata hisa ya akili ya mtu unatakiwa uchukue UMRI wa akili ×100 halafu gawanya kwa UMRI wa kuzaliwa.

UMRI wa akili hupatikana kwa kukadiria matendo ayafanyayo mtu. Kwa mfano nyumbani una mtoto wa Miaka 10 lakini matendo yake na uwezo wake unalingana na mtoto wa Miaka 15 basi miaka hiyo 15 ndio UMRI Wake kiakili hivyo utachukua (15×100 ) ÷ 10 = 150.

Nini tafriri yake? Wanasaiokolojia hawa katika nadharia hii wameonyesha pia matokeo ya ukokotoaji kwa mfano hapo jibu tumepata ni 150 mtoto huyu atakuwa ni mwenye kipaji maalumu kwani hawa huanzia 139+ .

Chini ya hapo 129-139 ni wenye Akili za juu sana sana, 110-119 hawa wana akili za juu,90-109 wastani, 80-89 wapo chini ya wastani na 70-79 wana akili duni, chini ya 70 hawa wana mtindio wa ubongo (tahira).

Tunapozungumzia hisa ya akili hatumaanishi uwezo alionao mtu katika kukokotoa hisabati au kujibu maswali ya physics kwa ufasaha bali ni ule uwezo wa mtu kutafsiri na kuchambua taarifa mbalimbali zinazofikishwa kwenye ubongo kitaalamu huitwa ABSTRACT REASONING.

Kwa maana hiyo ukichukua mtanzania ukamweka kwenye kundi la wakenya, wanyarwanda nk basi atashika nafasi ya Mwisho katika kutafsiri na kupata ufahamu kwa mambo ambayo yatakuwa mbele yao.

Kuwa na hisa ndogo ya akili hakutokani na kukosa tu elimu ya Darasani japokuwa nayo huchangia bali hutokana na sababu nyingine nyingi kama vile Lishe duni, afya duni, aina ya genes tunazorithi toka kwa mababu zetu nk.

Dr James Watson aliwahi kusema " black people are less intelligent than white people" Huyu Dr alifanya justification ya argument yake kwa kusema kuwa ujinga ni kitu cha kurithi na ni kama ugonjwa. Hili limeshawahi kudhihirishwa na nadharia nyingine nyingi za kisayansi na za kisaikolojia.

Tuangalie sasa ni mambo gani ambayo hata hivyo yanaweza kuwa ni ushahidi wa ujinga wetu:-

1. Pitia scandal ya UPATU ya DECI.

2. Agalia jinsi ukawa ilivyomtukana Lowassa na baadaye wanamsafisha.

3. Angalia jinsi babu wa Loliondo alivyo tuburuza

4. Angalia michango ya wabunge wetu bungeni na jinsi tunavyowashangilia.

5. Angalia rasilimali tulizonazo na uchumi wetu kama vinaendana.

6. Angalia kwa nini Sumaye alihamia Chadema na bado tunaendelea kushangilia na kupiga makofi

Kuna mambo mengi tu yanayodhihirisha ujinga wetu hata wewe unaweza kuyaongeza katika huo mtiririko.Hata comment yako pia inaweza kukutambulisha aina ya IQ uliyonayo.

Ole Mushi.

"Ninanukuu"

Kweli kabisa mkuu inawezekana IQ imechangia.
 
Zitto ni mtu ambae anauwezo mkubwa sana ,na nimuona angeenda mbali sana katika taifa achana na wazee wa vyama vingine kama cheyo ,sijui nini hapa kati kilimkumba ,kwa kweli watu wa Kigoma tunalikosea sana Taifa hili , ukiangalia Sura zote za machwa papa ni ndugu zetu kutoka kigoma mfano

Baba levo
Mwijaku
Diamond
Kafulilia n.k

Sio tu katika zama hizi , tumekua na viongozi wengi kutoka kigoma ila wamekua daily sariti juhudi za mapambano , kigoma hii laana itaendelea kututafuna tu

Kweli kabisa mkuu. Zitto alikuwa anaenda vizuri ila Kuna sehemu alikengeuka akabadilika mazima.
 
Vyama vya upinzani vya Tanzania ukiondoa chama cha CHADEMA Vimeonesha wazi ya kwamba havipo kwaajili ya kuiondoa CCM madarakani bali vipo kwaajili ya kukifanya chama mapinduzi kuendelea kuwa madarakani.

Vyama vya upinzani vilikuwa na nafasi adhimu ya kukibana chama Cha CCM kikae pamoja nao na kufanya mabadiliko makubwa kabla ya kuingia kwenye uchaguzi kwa vyama vyote vya upinzani Kugoma kusign kanuni za maadili ya uchaguzi. Kitendo Cha vyama vya upinzani kukataa kusaini hizo kanuni kungepelekea CCM kushiriki uchaguzi pekee yake kitu ambacho kingekuwa kigumu kwao hivyo wangeingia kwenye mtego wa aidha CCM waende wenyewe kwenye uchaguzi au wasitishe mchakato wa uchaguzi mpaka reforms zifanyike.

Ila jambo la kushangaza wapinzani wakasema mhuni hasusiwi au wengine wakasema watalinda kura. Sasa unahangaika kulinda kura wakati ulikuwa na fursa ya Kugoma kusaini hizo kanuni ili uweke mazingira mazuri yasiyo kalazimisha kulinda hizo kura?. Wengine baada ya kusaini zile Kanuni wakaanza kulia kwamba zifanyiwe marekebisho. Kwakweli upinzani mmetuangusha wananchi.

Niseme tu kitendo Cha vyama vya upinzani kusaini kanuni za uchaguzi kimetoa ruhusa kwa CCM kuendelea na uchakakuaji wake maana Vyama vyote vimeridhia kanuni hazina shida. Yeyote anayesema atapambana huko huko ulingoni ni mwongo. Kwanini upambane wakati fursa ya kuweka mazingira sahihi ulikuwa nayo ila ukaiacha? Kwanini ulinde kura wakati fursa ya kuweka mazingira bora ya kisheria ulikuwa nayo? Shame on you upinzani.

Vyama vya upinzani isipokuwa CHADEMA, vimeonesha unafiki na uoga kwa CCM. Nakipongeza chama Cha CHADEMA Kwa kukataa kushiriki uchaguzi huu maana historia itawakumbuka kama chama kilichokataa kuwa mtumwa wa CCM .
Leo ndo umejua kuwa hivyo vinavyoitwa vyama 18 ni vyama shikizi vya ccm.

Miaka 5 havifanyi mikutano wala havifanyi uchaguzi ndani ya chama lakini haviguswi na msajili. Wafanye hivo Chadema msajili anaenda na bodaboda kupeleka barua.

Cha ajabu mwaka huu eti vyote vimesimamisha wagombea wa Urais ili ionekane kuwa mwaka huu kuna wagombea 19 wa Urais. Makende yao.
 
Vyama vya upinzani vya Tanzania ukiondoa chama cha CHADEMA Vimeonesha wazi ya kwamba havipo kwaajili ya kuiondoa CCM madarakani bali vipo kwaajili ya kukifanya chama mapinduzi kuendelea kuwa madarakani.

Vyama vya upinzani vilikuwa na nafasi adhimu ya kukibana chama Cha CCM kikae pamoja nao na kufanya mabadiliko makubwa kabla ya kuingia kwenye uchaguzi kwa vyama vyote vya upinzani Kugoma kusign kanuni za maadili ya uchaguzi. Kitendo Cha vyama vya upinzani kukataa kusaini hizo kanuni kungepelekea CCM kushiriki uchaguzi pekee yake kitu ambacho kingekuwa kigumu kwao hivyo wangeingia kwenye mtego wa aidha CCM waende wenyewe kwenye uchaguzi au wasitishe mchakato wa uchaguzi mpaka reforms zifanyike.

Ila jambo la kushangaza wapinzani wakasema mhuni hasusiwi au wengine wakasema watalinda kura. Sasa unahangaika kulinda kura wakati ulikuwa na fursa ya Kugoma kusaini hizo kanuni ili uweke mazingira mazuri yasiyo kalazimisha kulinda hizo kura?. Wengine baada ya kusaini zile Kanuni wakaanza kulia kwamba zifanyiwe marekebisho. Kwakweli upinzani mmetuangusha wananchi.

Niseme tu kitendo Cha vyama vya upinzani kusaini kanuni za uchaguzi kimetoa ruhusa kwa CCM kuendelea na uchakakuaji wake maana Vyama vyote vimeridhia kanuni hazina shida. Yeyote anayesema atapambana huko huko ulingoni ni mwongo. Kwanini upambane wakati fursa ya kuweka mazingira sahihi ulikuwa nayo ila ukaiacha? Kwanini ulinde kura wakati fursa ya kuweka mazingira bora ya kisheria ulikuwa nayo? Shame on you upinzani.

Vyama vya upinzani isipokuwa CHADEMA, vimeonesha unafiki na uoga kwa CCM. Nakipongeza chama Cha CHADEMA Kwa kukataa kushiriki uchaguzi huu maana historia itawakumbuka kama chama kilichokataa kuwa mtumwa wa CCM .
Mkuu umefanya kosa kuandika ''upinzani''. Hivyo vyama wote ni matawi ya CCM. Hata Zanzibar Maalim aliondoka na upinzani. Trust me. Zanzibar sasa hivi kuna wasaka vyeo tu. Maneno yangu utayahakiki kwa ''uchaguzi'' unaokuja. Watakuwa comfortable kabisa kupewa vingora na nafasi za ubunge.
 
Vyama vya upinzani vya Tanzania ukiondoa chama cha CHADEMA Vimeonesha wazi ya kwamba havipo kwaajili ya kuiondoa CCM madarakani bali vipo kwaajili ya kukifanya chama mapinduzi kuendelea kuwa madarakani.

Vyama vya upinzani vilikuwa na nafasi adhimu ya kukibana chama Cha CCM kikae pamoja nao na kufanya mabadiliko makubwa kabla ya kuingia kwenye uchaguzi kwa vyama vyote vya upinzani Kugoma kusign kanuni za maadili ya uchaguzi. Kitendo Cha vyama vya upinzani kukataa kusaini hizo kanuni kungepelekea CCM kushiriki uchaguzi pekee yake kitu ambacho kingekuwa kigumu kwao hivyo wangeingia kwenye mtego wa aidha CCM waende wenyewe kwenye uchaguzi au wasitishe mchakato wa uchaguzi mpaka reforms zifanyike.

Ila jambo la kushangaza wapinzani wakasema mhuni hasusiwi au wengine wakasema watalinda kura. Sasa unahangaika kulinda kura wakati ulikuwa na fursa ya Kugoma kusaini hizo kanuni ili uweke mazingira mazuri yasiyo kalazimisha kulinda hizo kura?. Wengine baada ya kusaini zile Kanuni wakaanza kulia kwamba zifanyiwe marekebisho. Kwakweli upinzani mmetuangusha wananchi.

Niseme tu kitendo Cha vyama vya upinzani kusaini kanuni za uchaguzi kimetoa ruhusa kwa CCM kuendelea na uchakakuaji wake maana Vyama vyote vimeridhia kanuni hazina shida. Yeyote anayesema atapambana huko huko ulingoni ni mwongo. Kwanini upambane wakati fursa ya kuweka mazingira sahihi ulikuwa nayo ila ukaiacha? Kwanini ulinde kura wakati fursa ya kuweka mazingira bora ya kisheria ulikuwa nayo? Shame on you upinzani.

Vyama vya upinzani isipokuwa CHADEMA, vimeonesha unafiki na uoga kwa CCM. Nakipongeza chama Cha CHADEMA Kwa kukataa kushiriki uchaguzi huu maana historia itawakumbuka kama chama kilichokataa kuwa mtumwa wa CCM .
Chama cha upinzani Tanzania ni kimoja tu, vingine ni vyama rafiki wa CCM.

Vv
 
Leo ndo umejua kuwa hivyo binavyoitwa vyama 18 ni vyamanshikizi vya ccm.

Miaka 5 havifanyi mikutano wala havifanyi uchaguzi ndani ya chama lakini haviguswi na msajili. Wafanye hivo Chadema msajili anaenda na bodaboda kupeleka barua.

Cha ajabu mwaka huu eti vyote vimesimamisha wagombea wa Urais ili ionekane kuwa mwaka huu kuna wagombea 19 wa Urais. Makende yao.

Aiseeh! Kweli kabisa. Naona mpaka milage wanapewa.
 
Mkuu umefanya kosa kuandika ''upinzani''. Hivyo vyama wote ni matawi ya CCM. Hata Zanzibar Maalim aliondoka na upinzani. Trust me. Zanzibar sasa hivi kuna wasaka vyeo tu. Maneno yangu utayahakiki kwa ''uchaguzi'' unaokuja. Watakuwa comfortable kabisa kupewa vingora na nafasi za ubunge.

Nakubaliana na wewe mkuu, kwa Sasa Zanzibar hakuna upinzani na Wala hakuna harakati ngumu za upinzani kama kipindi Cha Maalim Seif.
 
Vyama vya upinzani vya Tanzania ukiondoa chama cha CHADEMA Vimeonesha wazi ya kwamba havipo kwaajili ya kuiondoa CCM madarakani bali vipo kwaajili ya kukifanya chama mapinduzi kuendelea kuwa madarakani.

Vyama vya upinzani vilikuwa na nafasi adhimu ya kukibana chama Cha CCM kikae pamoja nao na kufanya mabadiliko makubwa kabla ya kuingia kwenye uchaguzi kwa vyama vyote vya upinzani Kugoma kusign kanuni za maadili ya uchaguzi. Kitendo Cha vyama vya upinzani kukataa kusaini hizo kanuni kungepelekea CCM kushiriki uchaguzi pekee yake kitu ambacho kingekuwa kigumu kwao hivyo wangeingia kwenye mtego wa aidha CCM waende wenyewe kwenye uchaguzi au wasitishe mchakato wa uchaguzi mpaka reforms zifanyike.

Ila jambo la kushangaza wapinzani wakasema mhuni hasusiwi au wengine wakasema watalinda kura. Sasa unahangaika kulinda kura wakati ulikuwa na fursa ya Kugoma kusaini hizo kanuni ili uweke mazingira mazuri yasiyo kalazimisha kulinda hizo kura?. Wengine baada ya kusaini zile Kanuni wakaanza kulia kwamba zifanyiwe marekebisho. Kwakweli upinzani mmetuangusha wananchi.

Niseme tu kitendo Cha vyama vya upinzani kusaini kanuni za uchaguzi kimetoa ruhusa kwa CCM kuendelea na uchakakuaji wake maana Vyama vyote vimeridhia kanuni hazina shida. Yeyote anayesema atapambana huko huko ulingoni ni mwongo. Kwanini upambane wakati fursa ya kuweka mazingira sahihi ulikuwa nayo ila ukaiacha? Kwanini ulinde kura wakati fursa ya kuweka mazingira bora ya kisheria ulikuwa nayo? Shame on you upinzani.

Vyama vya upinzani isipokuwa CHADEMA, vimeonesha unafiki na uoga kwa CCM. Nakipongeza chama Cha CHADEMA Kwa kukataa kushiriki uchaguzi huu maana historia itawakumbuka kama chama kilichokataa kuwa mtumwa wa CCM .
Kukimbia uchaguzi ni wazo la kipumbavu sana kufanywa na chama cha siasa
 
Back
Top Bottom