Upinzani wa Tanzania bila press ya Polepole, Mpina na Askofu Gwajima hawana chakuongea wanabaki wanaangaliana tu

Upinzani wa Tanzania bila press ya Polepole, Mpina na Askofu Gwajima hawana chakuongea wanabaki wanaangaliana tu

Kimbesa11

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2015
Posts
4,652
Reaction score
2,696
Upinzani hawana hoja siyo wabunifu, wanatafutiza tafutiza tu hoja.

Gwajima anawatapeli wanachekelea tu hebu kuweni na akili, you have to be innovative jifunzeni kujitegemea jengeni hoja Kama mnazo lakini kwa serikali hii ya awamu ya 6 hakuna hoja kwasababu kila kundi limetatuliwa changamoto zake.

Mwisho: acheni kudakia dakia mambo nyny siyo kuku ni watu inatakiwa mtumie akili mjenge hoja zenye mashiko badala ya ku copy na kupest hoja za watu waliofeli siasa
 
Upinzani hawana hoja siyo wabunifu, wanatafutiza tafutiza tu hoja.
Gwajima anawatapeli wanachekelea tu hebu kuweni na akili, you have to be innovative jifunzeni kujitegemea jengeni hoja Kama mnazo lakini kwa serikali hii ya awamu ya 6 hakuna hoja kwasababu kila kundi limetatuliwa changamoto zake.

Mwisho: acheni kudakia dakia mambo nyny siyo kuku ni watu inatakiwa mtumie akili mjenge hoja zenye mashiko badala ya ku copy na kupest hoja za watu waliofeli siasa
Ndio mkae mkijia mama yenu huyo kahaba mkuu wa makahaba Yezebeli anayetamani kuuwa wakosoaji wake kuwatesa kuwateka na kuwapoteza hakubaliki hata na inner circle 🔴⭕ yake
 
Upinzani hawana hoja siyo wabunifu, wanatafutiza tafutiza tu hoja.
Gwajima anawatapeli wanachekelea tu hebu kuweni na akili, you have to be innovative jifunzeni kujitegemea jengeni hoja Kama mnazo lakini kwa serikali hii ya awamu ya 6 hakuna hoja kwasababu kila kundi limetatuliwa changamoto zake.

Mwisho: acheni kudakia dakia mambo nyny siyo kuku ni watu inatakiwa mtumie akili mjenge hoja zenye mashiko badala ya ku copy na kupest hoja za watu waliofeli siasa
Watawala wanacho zaidi ya Dinner Gala ya kuwachangisha kina Sethi na madalali wenzie wa nchi?
 
Upinzani hawana hoja siyo wabunifu, wanatafutiza tafutiza tu hoja.

Gwajima anawatapeli wanachekelea tu hebu kuweni na akili, you have to be innovative jifunzeni kujitegemea jengeni hoja Kama mnazo lakini kwa serikali hii ya awamu ya 6 hakuna hoja kwasababu kila kundi limetatuliwa changamoto zake.

Mwisho: acheni kudakia dakia mambo nyny siyo kuku ni watu inatakiwa mtumie akili mjenge hoja zenye mashiko badala ya ku copy na kupest hoja za watu waliofeli siasa
wataongea nini sasa gentleman,

heche mwenyewe tofauti na fujo au vurugu hana hoja na hawezi kufanya siasa za kistaarabu 🐒
 
Upinzani hawana hoja siyo wabunifu, wanatafutiza tafutiza tu hoja.

Gwajima anawatapeli wanachekelea tu hebu kuweni na akili, you have to be innovative jifunzeni kujitegemea jengeni hoja Kama mnazo lakini kwa serikali hii ya awamu ya 6 hakuna hoja kwasababu kila kundi limetatuliwa changamoto zake.

Mwisho: acheni kudakia dakia mambo nyny siyo kuku ni watu inatakiwa mtumie akili mjenge hoja zenye mashiko badala ya ku copy na kupest hoja za watu waliofeli siasa
CCM bila dola na mahakama mnafurushwa ikulu alfajiri kabisa. Hamna sera, ni wezi na watu wa kutumia nguvu kwenye kila kitu
 
Upinzani hawana hoja siyo wabunifu, wanatafutiza tafutiza tu hoja.

Gwajima anawatapeli wanachekelea tu hebu kuweni na akili, you have to be innovative jifunzeni kujitegemea jengeni hoja Kama mnazo lakini kwa serikali hii ya awamu ya 6 hakuna hoja kwasababu kila kundi limetatuliwa changamoto zake.

Mwisho: acheni kudakia dakia mambo nyny siyo kuku ni watu inatakiwa mtumie akili mjenge hoja zenye mashiko badala ya ku copy na kupest hoja za watu waliofeli siasa
 
Ndio mkae mkijia mama yenu huyo kahaba mkuu wa makahaba Yezebeli anayetamani kuuwa wakosoaji wake kuwatesa kuwateka na kuwapoteza hakubaliki hata na inner circle 🔴⭕ yake
Mnategea polepole aongee ndo mpate chakuongea mpo kama manyumbu na nimanyumbu kweli kweli
 
CCM bila dola na mahakama mnafurushwa ikulu alfajiri kabisa. Hamna sera, ni wezi na watu wa kutumia nguvu kwenye kila kitu
Kwahyo bila Gwajima hamna chakuongea ndo maana wanawaita manyumbu
 
Chadema walikuwa wanapeleka moto balaa hadi kizimkazi akaona isiwe tabu dawa yao ni kesi, kesi, kesi, kesi!!!.
Ushapata jibu mkuu?!
Machawa kama hawa huwa wanajiziba maskio lakini ukweli wanaujua
 
Back
Top Bottom