theBlack
New Member
- Sep 7, 2018
- 2
- 0
Naona upinzani unayeyuka.... ila sioni mafanikio wala maendeleo kama upinzani utakuwa upotezwa Tanzania... sidhani kama kuna mbunge wa Ccm atakaye kubali kupondwa ilihali wao ndo wameshika dola.... mfumuko wa bei... kodi zinazidi kupanda na pia viongozi wengine naona kama hawajui mipaka ya kazi yao..
HAYO NI MAONI YANGU TU... CJUI YAKWENU?!!
HAYO NI MAONI YANGU TU... CJUI YAKWENU?!!