Upinzani ndani ya CCM

Upinzani ndani ya CCM

OX11R1

Member
Joined
Dec 27, 2017
Posts
29
Reaction score
25
Mimi kama mwana CCM nahimiza wanachama wenzangu tuwe wapinzani ndani ya chama.Kwa hili namaanisha tusipoikosoa chama chetu hiki tukufu, itazidi kuchafuliwa na viongozi wachache ambao sasa wamekuwa miungu watu.

Ombi langu ni tuikashifu makosa yanayo fanywa kama tunavyo pongeza mema yanayotendeka.Tuwache siasa za kishabiki na unafiki.

I submit.
 
Mimi kama mwana CCM nahimiza wanachama wenzangu tuwe wapinzani ndani ya chama.Kwa hili namaanisha tusipoikosoa chama chetu hiki tukufu, itazidi kuchafuliwa na viongozi wachache ambao sasa wamekuwa miungu watu.

Ombi langu ni tuikashif makosa yanayo fanywa kama tunavyo pongeza mema yanayotendeka.Tuwache siasa za kishabik na unafik.

I submit.

SISI SIO WANA CCM, KAWAAMBIE HAO WAZINDAKI WENZAKO
 
Rekebisha lugha yako yaani unataka kukashifu mabaya ama unataka kupinga mabaya.
Lakini pia si mnamfumo wenu wa kuhamasishana na kuonyana ndani kwa ndani?

Kitakachoiua ccm ni unafiki
 
Mimi kama mwana CCM nahimiza wanachama wenzangu tuwe wapinzani ndani ya chama.Kwa hili namaanisha tusipoikosoa chama chetu hiki tukufu, itazidi kuchafuliwa na viongozi wachache ambao sasa wamekuwa miungu watu.

Ombi langu ni tuikashif makosa yanayo fanywa kama tunavyo pongeza mema yanayotendeka.Tuwache siasa za kishabik na unafik.

I submit.

Get a proper job, achana na majungu!
 
Mimi kama mwana CCM nahimiza wanachama wenzangu tuwe wapinzani ndani ya chama.Kwa hili namaanisha tusipoikosoa chama chetu hiki tukufu, itazidi kuchafuliwa na viongozi wachache ambao sasa wamekuwa miungu watu.

Ombi langu ni tuikashif makosa yanayo fanywa kama tunavyo pongeza mema yanayotendeka.Tuwache siasa za kishabik na unafik.

I submit.
Tunaogopa kuziacha familia zetu ukiwa. Hiki chama chetu ukikosoa, jua kabisa wasiojulukana watadili Na wewe.
 
Mimi kama mwana CCM nahimiza wanachama wenzangu tuwe wapinzani ndani ya chama.Kwa hili namaanisha tusipoikosoa chama chetu hiki tukufu, itazidi kuchafuliwa na viongozi wachache ambao sasa wamekuwa miungu watu.

Ombi langu ni tuikashif makosa yanayo fanywa kama tunavyo pongeza mema yanayotendeka.Tuwache siasa za kishabik na unafik.

I submit.
Sawa kamanda
 
Chama kina kanuni zake,tumia vikao vya chama lakini kama umeshindwa na hayo jihesabu ni mwanachama wa akiba.
 
Back
Top Bottom