Baba Swalehe JF-Expert Member Joined Jun 6, 2017 Posts 20,220 Reaction score 39,851 Mar 26, 2018 #21 Haituhusu !!! Hayo ni mambo ya chumbani !!
Mlachake JF-Expert Member Joined Oct 13, 2009 Posts 4,451 Reaction score 4,655 Mar 26, 2018 #22 Tatizo lenu ni kujivua akili, Binadamu simamia unachokiamini asilimia kubwa ya watu wa ccm hawasimamii wanachokiamini. Muangaliage yule mzee kijana wa katiba mpya utanielewa
Tatizo lenu ni kujivua akili, Binadamu simamia unachokiamini asilimia kubwa ya watu wa ccm hawasimamii wanachokiamini. Muangaliage yule mzee kijana wa katiba mpya utanielewa