Upinzani mbona kimya?

Upinzani mbona kimya?

ESCORT 1

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2015
Posts
1,501
Reaction score
3,342
Matamko kuhusu UKUTA yameishia wapi?

Mbowe na viongozi wenzako mbona mmekaa kimya sana, Serikali ina mkono mrefu na hamuwezi kushindana nayo hata siku moja, UKUTA umetoka nyufa kwa sasa hata mlevi anaudondosha ikifika Septemba 1.

Ingekuwa ni mechi ya mpira wa miguu, mshapigwa 3-0 kabla hata ya mechi kuanza, achaneni na UKUTA watoeni wenzenu waliopo selo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom