Bitabo
JF-Expert Member
- Sep 27, 2011
- 1,900
- 687
Tukumbuke kwenye hivi vyama vya upinzani kuna vipandikizi vingi vya CCM ili vyama vife. Migogoro inayoonekana kwenye vyama vya upinzani ni kule kugundua njama za CCM na sasa wanaamua kusafishana (japo njia wanayoitumia inaweza isiwe muafaka sana)
Ila naamini ndo vinakomaa sasa. CDM naiaminia zaidi
Kwa upande wa pili CCM ndo wana hali mbaya zaidi. badala ya kiutekeleza ilani yao wenyewe, wanagombania kijiti cha 2015 wakati bado kuna miaka 3. Hofu imeshawingia kuipoteza ikulu na hawajajua watajinasuaje kwenye hasira za Watanzania. Mkuu MKUNGA, jarinbu kuwapelekea tiba wenzio japo nina wasiwasi na tiba yako maana hata ugonjwa wao huuoni mpaka sasa. Usije ukawapa sumu tu maana ndo style waliyoanzisha ili wapunguzane.
Ila naamini ndo vinakomaa sasa. CDM naiaminia zaidi
Kwa upande wa pili CCM ndo wana hali mbaya zaidi. badala ya kiutekeleza ilani yao wenyewe, wanagombania kijiti cha 2015 wakati bado kuna miaka 3. Hofu imeshawingia kuipoteza ikulu na hawajajua watajinasuaje kwenye hasira za Watanzania. Mkuu MKUNGA, jarinbu kuwapelekea tiba wenzio japo nina wasiwasi na tiba yako maana hata ugonjwa wao huuoni mpaka sasa. Usije ukawapa sumu tu maana ndo style waliyoanzisha ili wapunguzane.