mr mkiki
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 5,584
- 11,659
Mzee kaniambia mwanangu subiri uione Tanzania ilivyokuwa kabla ya 1995. I felt the pain in that statement. It seems like tunatoka bad kwenda worse.
Hii Demokrasia itatuachia makovu mpaka lini aisee?
Kwa hali hii, turudi tu tulipotoka. Tupunguze misongo ya mawazo pamoja na kupunguza gharama.
Hii Demokrasia itatuachia makovu mpaka lini aisee?
Kwa hali hii, turudi tu tulipotoka. Tupunguze misongo ya mawazo pamoja na kupunguza gharama.