Umesikia kwani mimi ni kibaraka wa beberuNilijua wewe utatoka ulipokuwa kumbe na wewe ni keyboard warriors wale wale .
Unanipangia?nipo kabla ya mapovu yenu humu na tutaendelea kuwakeraSasa kuwa kama Musiba sasa mbona upo huku bila jina sahihi
Mabwana zenu wanataka muandamane nyie mnajificha tu kwenye keyboard rudisheni chenji za mabeberuSawa keyboard warriors
Acha kuongea kama unashikishwa ukuta....Mbowe ndio sababu ya chadema kufeli... chadema watu makini wote wameikimbia...
Viti maalumu vya chadema walikuwa wanapewa nyumba ndogo na dada zao..
Ruzuku hazijulikani zinaenda wapi
Tangu lini huyu mzee aseme mazuri ya serikali ya CCM?
Ok!! Sawa sasa yeye na nyinyi na shetaniTangu lini huyu mzee aseme mazuri ya serikali ya CCM?
Muda mwingine muwe mnaangalia na wanaohojiwa,,, tangu ashibe matunda ya wananchi kupitia CCM kajifanya ashasahau, mbona hakuwahi kuonyesha movement yoyote pindi akiwa CCM? Baada ya kutofautiana na yeye kuondoka ametufanya tusahau kuwa nayeye alikuwa huko?
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kweli watu mna mahaba,hivi Tanzania kuna upinzani kweli? Upinzani wenyewe ndio huuu 👇👇👇Mzee kaniambia mwanangu subiri uione Tanzania ilivyokuwa kabla ya 1995. I felt the pain in that statement. It seems like tunatoka bad kwenda worse.
Hii Demokrasia itatuachia makovu mpaka lini aisee?
Kwa hali hii, turudi tu tulipotoka. Tupunguze misongo ya mawazo pamoja na kupunguza gharama.
Picha inaongea mengi sana,picha hii ina onyesha upinzani una njaa,hauna msimamo,haujiamini wala kujielewa.Thibitisha
Picha inaongea mengi sana,picha hii ina onyesha upinzani una njaa,hauna msimamo,haujiamini wala kujielewa.
View attachment 1619027