Upigaji Punyeto: Zijue hasara/ madhara pamoja na njia sahihi za kuacha tabia hii

Mimi Binafsi nilianza kupiga hii Kitu miaka ya 2009 kisa ni zile story zinazopatikana kwenye magazeti ya Sun ya kipindi kile. Nikawa hata nikimtia dem lazima nimalizie na Puchu moja ndiyo nakua nmeridhika. Ila nikawa naona mabadiliko kidogo sana ikiwemo:-
  • uwezo wa kushika vitu kichwani ukapungua sana, (napoteza kumbukumbu ndani ya dakika chache sana hazizidi mbili)
  • uwezo wa kuongea mbele za watu ukayeyuka (nilikua na uwoga sana kuongea mbele za watu),
  • nikawa napatwa na hali ya Kuchapia nikiwa naongea yaani hata kama naongea sentensi fupi tu nachapia,
  • nikiwa namtia mwanamke siwezi kukojoa mpaka nimfikirie dem wa kwenye magazeti (wema, uwoya, masogange nk),
  • mashine kuchelewa kusimama na ikisimama hata ikikojoa hailali mpaka nipige nyeto,
  • kuanza kunuka Vikwapa hata nikioga yaani likitoka jasho kidogo tu linanuka kwapani vibaya mno
  • nikiwa geto peke yangu bila kujali muda nawaza kupiga nyeto tu na lazima nitapiga.


Hata baada ya kuoa miaka ya elfu mbili na kumi na kitu nilikua naendelea kupiga nyeto, mpaka ilipofika mwaka 2020 nikaacha baada ya kuona madhara ya kisaikolojia yalikua yananizidia yaani nilikua napoteza kumbukumbu, uwezo wa kuongea maneno kwa mpangilio mbele ya Viongozi wangu ulipungua yaani ni kama nilikua naelekea kwenye UCHIZI.
Nikaacha hiyo kitu mwaka 2020 mwezi wa Nane na mpaka leo hii sijapiga kabisa na ninaendelea kuimarika hasa kwenye kumbukumbu, uwezo wa Kujiamini, LAKINI HAKUNA MADHARA YA KULEGEA UUME ENDAPO NAKUTANA NA MWANAMKE ANAYENIVUTIA.
Mkuu uliyoandika ni ukweli mtupu,hata Kama watu watakupinga,mi nimeathirika na kuwa na hali ya kusahau sahau,pia nakuwa natokwa na jasho Kali wakati siku za nyuma sikuwa hivyo,punyeto ni mbaya sana,bora kuacha kabisa.

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
 
Ayo ni matatizo yako binafsi Nyeto umeitumia tu imekuwa nyezo tu ya kuongeza ayo matatizo yako.

Binafsi napiga nyeto tangia 2010 na niko mentally and physically fit. Nyeto ni nature ya wanyama wengi kujishika shika pale anakuwa ana hisia akiendelea kujishika lazima amwage. Ko ni nature iyo

Lakini umepewa akili Fanya jambo kwa kiasi, kula vizur, tunza afya yako. Kama unapiga nyeto basi piga kwa kiasi na kama unafanya ngona kadhalika fanya kwa kiasi

Uku duniani kila kitu kina madhara kutokana na mtu mtu na namna unavokitumia, ndo maana wewe unatumia sukari haikuletei shida ila kuna mtu amemyimwa kutumia sukari. Lkn haifanyi Sukari iwe mbaya kisa wewe imekuletea madhara wengine wataendelea kutumia kwa kiasi kinachotakiwa na wasipate madhara yeyote
Fact. Tena in deep make hata ukiendekeza ngono kufa ni mapema
 
Miaka karibu ishirini iliyopita kipindi nilipobalehe siku moja nikiwa bafuni naoga nilisikia sauti ya dada mmoja wa jirani akiongea na wenzake na kucheka ktk hali isiyo ya kawaida nikamtamani na kuanza kuvuta hisia nikifanya naye mapenzi na kwa mara ya kwanza nikaanza kupinga punyeto, ukawa ni mwanzo wa safari ambayo imenifikisha sehemu nisiyotamani kabisa kuwepo.

Kama kuna wengine hili kwao halina madhara basi kwa upande wangu limekuwa tatizo kubwa sababu tangia hapo ukawa ni mchezo wa almost kila siku, nikimwona mdada yuko nusu uchi hata kwenye tv mm tamaa inawaka najimaliza kwa punyeto. Wadada wa bongo movie wengi sana nimeshawapigia punyeto yaani nikiona tu mapaja au chupi tu kwangu ni tatizo moyo unaenda speed lazima nipige punyeto.

Miaka ya nyuma kidogo kulikuwa na vijarida vinaandika story za picha za mapenzi nilikuwa navinunua usiku navitumia kuvuta hisia huku napiga punyeto. Kwa sasa almost kila siku niko xvideos napakua video za porn za kila aina nikiwa naangalia namaliza hapo hapo, najisikia hatia nafuta video zote ila kesho yake nazipakua nyingine mchezo unaendelea, nimeshatuma sana elfu tano tano kwa wadada ili wanitumie picha zao na video zao za uchi au sometime kufanya sex video call.

Nimetamani sana kuacha, nimeomba na kuombewa lkn bado, nimejiwekea resolutions mara nyingi ya kuwa sasa naacha, nitajitahidi kujizuia kwa muda kama wiki mbili au tatu baada ya hapo narudi tena kwa nguvu mpya yaani ni kama nakuwa nakusanya nguvu tu ya kurudia upya na hasa kwa kuwa mara nyingi mawazo ya kuacha porn&punyeto huja baada ya kufanya punyeto kwa siku mfululizo so nahisi mwili huwa umechoka/kukaukiwa hivyo akili inakuwa imekaa sawa, ila zikishaongezeka tu mwili unaanza kusukuma kutafuta porn video na kupiga punyeto.

Kuna kipindi smartphone iliharibika nikawa natumia kitochi hapo ndio nilikaa kama miezi 3 kwa sababu sikuwa na means ya kuangalia porn, ila siku nilipopata tu smartphone nilikaa kama wiki mchezo ukaanza upya. Nikiwasha data huwa najisemea leo siingii xvideos so nitaperuzi vitu vingine ila mawazo yatanisukuma tu kwenda xvideos tatizo nikiaanza kuzipakua hadi kuja kumaliza na mwishowe kupiga punyeto mwili na akili vimechoka.

Binafsi hiki kifungo na hizi tabia zimenichosha sana na yako mambo ktk maisha yangu nayaona sasa naamini yako linked na hizi tabia, mimi ni mvivu hasa wa kutenda mambo, nimekuwa mwoga mwoga hivi, muda naotumia kuangalia na kupakua porn kama ningekuwa nautumia ktk mambo ya maana naamini ningekuwa ningepiga hatua zaidi ya niliyopo sasa.

Jana nimeangalia porn mpaka nikakosa kitu cha kuangalia maana vyote nimeshaviangalia mpaka intrest imeisha na hili nalo likanipa hofu sana hadi nikajiuliza kama nimejisikia hivi, nini kitafuata? Ninaamini hii ni ishara nyingine kuwa inabidi nitoke kwenye hili shimo nililoingia.

Nimeishi maisha yenye sura mbili kwa miaka yote hii na sasa natamani niishi maisha ya aina moja yaliyo safi, kuna watu wananiheshimu sana na kuniona mtu wa maana na muhimu sana hata kunishirikisha mambo yao mazito mazito ili niwashauri, huwa najisemea tu kuwa hawajui kuwa mm ni mchafu zaidi yao, ni dhaifu zaidi yao na si msafi kama wanionavyo nje na hili linanisumbua sana natamani niishi maisha safi nje na ndani.

Wale mliowahi kupambana mkashinda ktk changamoto kama hizi naomba ushauri, maana nimedhamiria kabisa kuwa siku ya jana tarehe 05/09/2019 ndio iwe siku ya mwisho ya kupiga punyeto na kujihusisha na pornography na ninaamini "one day at a time" nitafanikiwa.

Natanguliza shukrani kwa ushauri na support nitakayopata hapa.
MKUU ume fikia wapi juu ya hili suala la nyeto umeweza acha kabisa au bado tia maji tia maji ?!
 
Back
Top Bottom