Mr_X
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 1,170
- 2,337
- Thread starter
- #41
Yanga wamefungwa magoli machache kuliko Simba kwenye vpl huku Yanga amecheza game nyingiKwani kati ya yanga na simba Nani ana shida ya beki?
Moro na mwamnyeto
Wawa na onyango
Wapi unaona wamekamilika...prone injuries za Moro ambae hawezi cheza hata mechi 5 mfululizo!
Yanga wamemsajili Dickson Job