Mr_X
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 1,170
- 2,336
Abdul Razak
Hakuna mfatiliaji na mdau wa soka bongo asiejua kwamba shida ya Yanga SC ni striker, Yanga ilikuwa inaitaji striker na imepata striker, kuhusu striker ni Mzuri kiasi gani ligi zetu za kiafrika hazina formula
Chikwende
Nadhani watu wengi wa Simba na wadaawa wa soka wengi bongo walitegemea Simba ingesajili beki wa Kati kijana na mwenye speed, lakn Barbra amesajli forward, Chikwende sio mchezaj mbaya, kwani anakasi na ataongeza kasi zaidi mbele, lakn kwa Mtazamo wangu Mimi Simba waliitaji beki wa Kati pia zaidi kuliko striker
Hakuna mfatiliaji na mdau wa soka bongo asiejua kwamba shida ya Yanga SC ni striker, Yanga ilikuwa inaitaji striker na imepata striker, kuhusu striker ni Mzuri kiasi gani ligi zetu za kiafrika hazina formula
Chikwende
Nadhani watu wengi wa Simba na wadaawa wa soka wengi bongo walitegemea Simba ingesajili beki wa Kati kijana na mwenye speed, lakn Barbra amesajli forward, Chikwende sio mchezaj mbaya, kwani anakasi na ataongeza kasi zaidi mbele, lakn kwa Mtazamo wangu Mimi Simba waliitaji beki wa Kati pia zaidi kuliko striker