thomas_360
JF-Expert Member
- Oct 11, 2015
- 1,459
- 1,428
Kuna mtaa nilipita nikakuta vijana wanabishana sana kuhusu haya magonjwa mawili UKIMWI na Ebola, wengi walikuwa wanasema Ebola ni hatar kuliko UKIMWI Ila ukiwauliza sababu kwanini ni hatari kuliko UKIMWI majibu yao wengi wanakuambia Ebola ukiukwaa humalizi week tayari umeshapotea Duniani.
Sasa wakuu nyie mnalizungumziaje hili swala? Ningependa tupate elimu kidogo juu ya haya magonjwa najua wengi wanayafahamu kwa kusikia tu Ila ukimuuliza vyanzo vyao na maambukizi yake utapata majibu ya blah blah
Sasa wakuu nyie mnalizungumziaje hili swala? Ningependa tupate elimu kidogo juu ya haya magonjwa najua wengi wanayafahamu kwa kusikia tu Ila ukimuuliza vyanzo vyao na maambukizi yake utapata majibu ya blah blah