elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,705
- Thread starter
- #21
data hazi futiki hata kidogo yani hupotezi chochote.
Kwakweli hii imenisaidia sasa naomba mdau ambae atanisaidia namna ya ku-activate microsoft office professional plus 2010. Maana mimi sikubahatika kuwa na product key.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Nawashukuru wadau.
Chezea mshahara usichezee kazi.
Wakuu mie ninayo hii w 7 ultmate tangu nime install inanipa warnig ya kui apgrade kabla ya tarehe ....! Je mfumo huo uliotoa hapo juu na mie unaweza kunifaa?
wadau, watu wengi wanaonunua brand new computers uwa wanakuta imeku installed na cheapest windows 7 starter ambayo ina lack many features ahass upande wa multimedia.
Sasa ngoja niwape siri moja ni kwamba DVD ya installation ya windows 7 uwa inacontain aina zote za Windowa seven sema kuna command tag ambayo ndiyo ina determine cd ikuwekee windows 7 aina gani.
sasa kwa wenye windows 7 statrter leo nawapa formula ya ku upgrade windows 7 starter bila kutumoa internet wala cd la kufanya fanya haya:
Start->All Programs->type Windows Anytime Upgrade na press enter
weka hizi key upgrade to Proffession->237XB-GDJ7B-
MV8MH-98QJM-24367 na ku upgrade to Ultimate->6K2KY-BFH24-
PJW6W-9GK29-TMPWP
itachukua kama dakika 10 kazi kwisha
data hazi futiki hata kidogo yani hupotezi chochote.
wadau, watu wengi wanaonunua brand new computers uwa wanakuta imeku installed na cheapest windows 7 starter ambayo ina lack many features ahass upande wa multimedia.
Sasa ngoja niwape siri moja ni kwamba DVD ya installation ya windows 7 uwa inacontain aina zote za Windowa seven sema kuna command tag ambayo ndiyo ina determine cd ikuwekee windows 7 aina gani.
sasa kwa wenye windows 7 statrter leo nawapa formula ya ku upgrade windows 7 starter bila kutumoa internet wala cd la kufanya fanya haya:
Start->All Programs->type Windows Anytime Upgrade na press enter
weka hizi key upgrade to Proffession->237XB-GDJ7B-
MV8MH-98QJM-24367 na ku upgrade to Ultimate->6K2KY-BFH24-
PJW6W-9GK29-TMPWP
itachukua kama dakika 10 kazi kwisha
Ultimate ndo superior zaidi ya zote
Me natumia Window 7 Home Premium je naomba ushauri nichange kwenda Window 7 Ultimate maana naona wadau pamoja na wewe mmesema kwamba Window 7 Ultimate ina kila kitu au mnanishauri vipi??
wadau, watu wengi wanaonunua brand new computers uwa wanakuta imeku installed na cheapest windows 7 starter ambayo ina lack many features ahass upande wa multimedia.
Sasa ngoja niwape siri moja ni kwamba DVD ya installation ya windows 7 uwa inacontain aina zote za Windowa seven sema kuna command tag ambayo ndiyo ina determine cd ikuwekee windows 7 aina gani.
sasa kwa wenye windows 7 statrter leo nawapa formula ya ku upgrade windows 7 starter bila kutumoa internet wala cd la kufanya fanya haya:
Start->All Programs->type Windows Anytime Upgrade na press enter
weka hizi key upgrade to Proffession->237XB-GDJ7B-
MV8MH-98QJM-24367 na ku upgrade to Ultimate->6K2KY-BFH24-
PJW6W-9GK29-TMPWP
itachukua kama dakika 10 kazi kwisha
Mkuu,
Natumia w7 professional, nimejaribu ku upgrade to ultimate mara tatu inaleta message hii
"Windows anytime upgrade was not successiful please try the upgrade again
Umeweka hizo keys nlizoweka juu kama inavyotakiwa coz kuna keys 2 hapo ya ultimate na ya professional
wadau, watu wengi wanaonunua brand new computers uwa wanakuta imeku installed na cheapest windows 7 starter ambayo ina lack many features ahass upande wa multimedia.
Sasa ngoja niwape siri moja ni kwamba DVD ya installation ya windows 7 uwa inacontain aina zote za Windowa seven sema kuna command tag ambayo ndiyo ina determine cd ikuwekee windows 7 aina gani.
sasa kwa wenye windows 7 statrter leo nawapa formula ya ku upgrade windows 7 starter bila kutumoa internet wala cd la kufanya fanya haya:
Start->All Programs->type Windows Anytime Upgrade na press enter
weka hizi key upgrade to Proffession->237XB-GDJ7B-
MV8MH-98QJM-24367 na ku upgrade to Ultimate->6K2KY-BFH24-
PJW6W-9GK29-TMPWP
itachukua kama dakika 10 kazi kwisha
Mkuu, mimi nina Windows7 Home Basic - 64Bit, itawezekana kuiupgrade to Ultimate?
Thnks!
Yah fanya kama hapo juu