Nguvu itakayo tumika ni zaidi ya inavyotumima saa hivi kama hujawahi kuona mtu anapigwa risasi adhani tena jukwaani basi utaona..Ngoja tuone 2020 si mbali.
halafu taarifa zisizo rasmi zinasema Dr slaa anachukua fomu upande wa cdm,sasa patakuwa moto kweli kweli,
Mbona kwenye Mikoa yote sijaona Wachaga? Au unamalizia machicha ya mbege kwanza ndo urudi?
Mkuu hizi pumba za bata ama kukuHakuna siri tena,kwenye kile chama kuna kundi kubwa limeibuka likimtaka mh Membe kusimama 2020
Na kwa utafiti mfupi uliofanyika lakini sio rasmi unaonyesha kuwa Membe anakubalika zaidi na wanaccm wengi na wasio wanachama wa ccm
Eitha ,imeonyesha kuwa endapo Membe atasimama 2020 upinzani utakuwa na nguvu chache tofauti akisimama mzee mwenye nyumba ambapo upinzani unaweza ukawa na nguvu kuliko hata kipindi cha Lowasa na mabadiliko
Mikoa inayomuunga Membe kwa asilimia 100 ni Mtwara,Lindi,Ruvuma,Njombe,Iringa,Mbeya,Kigoma,Kagera,Mwanza jiji,Mara,Arusha,Kilimanjaro, Tanga,Pwani,Dar,Singida na mikoa yote ya Zanzibar
Mikoa inayomuunga Mzee mwenyewe wa chama ni Dodoma,Geita,wilaya za Mwanza(nje ya jiji),Simiyu, Katavi na Tabora
Mikoa ambayo wanagawana nusu kwa nusu ni Rukwa,Morogoro,Manyara na Shinyanga
Membe kaisha tangaza Leo hadharani kuwa ataomba ridhaa ndani ya chama chake ateuliwe kuwa mgombea urais ,bila kumung'unya maneno na thread ya kutoka taarifa niliileta mapema humu Leo mods wakafanya yao .Membe kaisha srma ataomba ridhaa kumuachia rais aliyepo madaraka ni desturi nasio sheria wala kanuni za ccm hivyo atagombea ,mambo ni moto twende na membe 2020 .Aje membe au nani sisiemu ni ile ile hakuna jpya
Watakuwa wanaosha loboko zao baada ya kukupakua kinyesi.Mbona kwenye Mikoa yote sijaona Wachaga? Au unamalizia machicha ya mbege kwanza ndo urudi?
Aisee!Nguvu itakayo tumika ni zaidi ya inavyotumima saa hivi kama hujawahi kuona mtu anapigwa risasi adhani tena jukwaani basi utaona..
Ila siombei hilo mungu asaidie tuu hayo yasitokee
Chonde chonde watanzania,2020 twende na Membe,kwa maslahi yetu na vizazi vijavyo...
Acha kabisa Mkuu hili likitokea la Bugirichato kupigwa chini furaha itakayokuwepo nchi nzima itakuwa haina mfano.
Watanzania wengi watalia machozi ya furaha na wengine waliothiriwa na huyo dhalimu kwa namna mbali mbali yatakuwa machozi ya huzuni.
Kwangu yatakua machozi ya furaha mkuu
My friend,Iam just a free creature who is free to speakout her mind.Kwani umesahau Shibuda alitangaza kugombea mwaka 2010?Shibudalization bado ipo na itaendelea kuwepo.Teuzi bado? Ikiwa tayari nistue hata pm nikupongeze πππ
Acha kabisa Mkuu hili likitokea la Bugirichato kupigwa chini furaha itakayokuwepo nchi nzima itakuwa haina mfano.
Watanzania wengi watalia machozi ya furaha na wengine waliothiriwa na huyo dhalimu kwa namna mbali mbali yatakuwa machozi ya huzuni.
Dah sijawahi ona mtu hampendi Jiwe kama wewe mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]