Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,557
- 21,512
Habari wakuu,
Baada ya vidume kuwa vigumu kuhonga sasa wanawake ndio wanahonga.
Tena wanahonga haswa maana wanakulisha, kuvisha, kodi na gari la kutembelea.
Zile kelele za kuhusu wanawake wanaomba pesa saivi zimekwisha maana vidume vinapewa pesa na wanawake.
Uzuri ni kuwa wanawake wao hawasemi ni kimya kimya unahongwa huku kazi yako kupasha mashine.
Naona ni badala ya kuona vilio vya wanaume wabahili wameona wajiongeze.
Wanawake nao wamekuwa wajanja wanajua kusaka pesa kuliko wanaume.
Wanaume msipokuwa makini ile hamsini kwa hamsini itawapata...
Doncute
Baada ya vidume kuwa vigumu kuhonga sasa wanawake ndio wanahonga.
Tena wanahonga haswa maana wanakulisha, kuvisha, kodi na gari la kutembelea.
Zile kelele za kuhusu wanawake wanaomba pesa saivi zimekwisha maana vidume vinapewa pesa na wanawake.
Uzuri ni kuwa wanawake wao hawasemi ni kimya kimya unahongwa huku kazi yako kupasha mashine.
Naona ni badala ya kuona vilio vya wanaume wabahili wameona wajiongeze.
Wanawake nao wamekuwa wajanja wanajua kusaka pesa kuliko wanaume.
Wanaume msipokuwa makini ile hamsini kwa hamsini itawapata...
Doncute