Ashaona mlango wa kuelekea kupewa uDC unazidi kuwa mwembamba!......kaamua kurudi nyuma na kupanga atoke vipi!
si bora hata ile ZE UTAMU...RIP my blog
great thimkers huu sio muda wa kumnanga mtu! mkiona mtu anarudi nyuma na kutambua upepo unaelekea wapi, ni vizuri kumpokea na kufurahi kuongeza idadi ya watu kundini wananojielewa tena wana uwezo wakutoa msaaada kubwa! kikubwa ni kumpa support jamaa awe miongoni mwa wanavuguvugu tu.
Sio peke yk anaehaha!Midia nyingi zimeshashituka haziuzi!
great thimkers huu sio muda wa kumnanga mtu! mkiona mtu anarudi nyuma na kutambua upepo unaelekea wapi, ni vizuri kumpokea na kufurahi kuongeza idadi ya watu kundini wananojielewa tena wana uwezo wakutoa msaaada kubwa! kikubwa ni kumpa support jamaa awe miongoni mwa wanavuguvugu tu.
si bora hata ile ZE UTAMU...RIP my blog