nampenda sana mama yangu zaidi ya sana ni mwanamke jasiri sana. Baada ya baba kufariki miaka 18 iliyopita alimwachia watoto sita na wamwisho akiwa na 2month, alinyang'anywa kila kitu had kad zetu za clinic, hakuwa na elimu so kazi pekee aloweza kuimudu ni uhudumu wa baa yan baamed amefanya hyo kazi kwa miaka 15 tukisoma, kula, kuvaa kwa taabu sana, had leo hii mm ndo nimekuja kumpumzisha na hyo kazi, lastborn wetu anaingia 4rm 4 mwakani,
Naheshm sana mabaamed coz ndo kaz iliyonikuza na kunisomesha,, nampenda sana mama yan sana nashndwa hata kujielezea..
Kwa wale wanaodharau hawa mabaamed sio wote walipenda ama kujitakia kufanya hyo kazi wengne nishda 2.