Upendo huvuta hata wanyama

Upendo huvuta hata wanyama

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,175
Reaction score
829,138
1397554188942.jpg
 
Paka ndo zao hizo mi nlikuwa na kapusy kadogo kalikuwa kananiganda hako kanakufata hadi chumbani loh nikakatupa huko!!
 
Paka ndo zao hizo mi nlikuwa na kapusy kadogo kalikuwa kananiganda hako kanakufata hadi chumbani loh nikakatupa huko!!

Huo ni ukatili dhidi ya wanyama dada. Kwanini ulimtupa? Watetezi wa haki za wanyama wangekuona.....!!!
 
Paka ndo zao hizo mi nlikuwa na kapusy kadogo kalikuwa kananiganda hako kanakufata hadi chumbani loh nikakatupa huko!!

mmh kapusy kadogo!sahv unako kakubwa eeh
 
nachukia paka

Dah unanikumbusha mbali, enzi izo tulipokua secondary kulikua na MWANAFUNZI mmoja msichana akimuona paka anapiga kelele, acha siku moja MWANAFUNZI Wa kiume amfanyie masihara na amletee paka darasani. Msichana alilia na kupiga kelele mpaka kesi ikafika hadi kwa mwalimu mkuu
 
Paka ndo zao hizo mi nlikuwa na kapusy kadogo kalikuwa kananiganda hako kanakufata hadi chumbani loh nikakatupa huko!!

He he he he ka ''pussy'' kanakufuata mpaka chumbani..!! Nimecheka sanaa axeeee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom