Mnawapa watu kazi ya uchunguzi,,, mtakapopewa MAREJESHO kuhusu mchumba wako na idadi ya VIDUME aliowapanga,, mwisho wa Siku MNANUNIA WAPELELEZI.. hilo ndy tatizo kubwa,, wewe kama unataka kuoa,,, angalia moyo wako unasemaje,, NDOA ni pale moyo wako unapopata FURAHA..