Duuuhhh shida yenu ,,demu umekutana naye humu ,,miezi mitatu unataka kumuoa ,,baada yandoa unarudi kulalamika tena teheeee.
Guys give yourself space ...ukitaka kujua kwann ndoa zazaman zilidumu waulizee wazeee ....hawa wanawake Wa wasap ,insta ,fb ,jf,, sio wakukurupukia kuoa yahitaji muda yaaan muda wakutosha .