Updates za-Naenda kufumania

Updates za-Naenda kufumania

ikechukwu

Member
Joined
Sep 18, 2013
Posts
12
Reaction score
6
..basi nikafika sehemu aliko mwenza wangu. Nikatonywa na wale mashushu kua yupo Bar flan anaburudika na huyo jamaa mwizi. Huyu ni mwizi mwingine sio profesa. Kiblazamen flan ivi. Nikafika pale bar hata sikuamin. Nikasubiria weee mpaka wakamaliza. Kisha wakaelekea kwenye gari...wakakaa kwa muda..dizain kama walikua wakinyonyana. Walivyoanza kuondoka nami sikubaki nyuma..nikawa nawafuatilia kwa boda boda. Nshajipigia viloba na value zangu jicho nyanya na full mihasira-leo ntampasua mtu nikijisemesha nafsini.

Wakakata kona..ghafla boda boda likaisha mafuta. Bodaman nampa buku 10 eti hana chenji...nikamkimbia. Full kulikimbiza lile gari....bahati mbaya...likanizidi mbio.

Basi nikarudi mpaka kwa mwenzawangu koz nilikua najua anapoishi. Nikalala mlangoni..nikamsubiri mpaka majira ya saa saba mchana. Akaja na swaga alikua semina Bagamoyo...u know...blah blah kibao. Nikamwambia its ok. Akafungua mlango...nikalala kupunguza uchovu na usingizi. Na yeye akalala...full kuchoka huku akikoloma.


Hatukula mchana...sikupikiwa mbwa mimi. Nikastuka saa 11 jion. Nikamstua tukaanza discussion. Akaanza kubisha na kuleta majibu ya oldi skuli. Aisee nilimpa mbata za kutosha...mpaka damu.....nikazama kwenye wallet yake...nikakuta laki 4..nikazikomba zote...nikaanza safari kurudi moro town. Jana nimesikia kalazwa hospital.


Nitaziweka picha zake hapa soon.
 
Wewe chukwu niaje,
Kichwa yako imejaa makamasi.
 
POLE SANA NDG YANGU HAWA VIUMBE ni WA HOVYO SANA MY SELF SOMETIMES HUWA NASEMA ITS BETTER TO STAY SINGLE BUT SIO HESHIMA,SO CONFUSES! weka pics
 
Waiting for Part 3 of the movie,Bongo Movie hawapo humu isije ikawa kuna mtu kaibiwa stori yake.
 
Mi kilichoniacha hoi ni kuingia kwenye wallet na kukomba laki nne.
 
hahahaha unajisifia kukomba laki nne alizohongwa na kidume mwenzio.
 
Nyie vipi?..kumsubiri kote kule na kulala nje mlangoni na mchana sikula. Afu laki nne zipo kwenye wallet niziache?..nna mavi mimi kwani?.sijui pesa sio?..acheni bana ngololo zenu kama hamna cha kuchangia. Mnfyuuuuuusss
 
..basi nikafika sehemu aliko mwenza wangu. Nikatonywa na wale mashushu kua yupo Bar flan anaburudika na huyo jamaa mwizi. Huyu ni mwizi mwingine sio profesa. Kiblazamen flan ivi. Nikafika pale bar hata sikuamin. Nikasubiria weee mpaka wakamaliza. Kisha wakaelekea kwenye gari...wakakaa kwa muda..dizain kama walikua wakinyonyana. Walivyoanza kuondoka nami sikubaki nyuma..nikawa nawafuatilia kwa boda boda. Nshajipigia viloba na value zangu jicho nyanya na full mihasira-leo ntampasua mtu nikijisemesha nafsini.

Wakakata kona..ghafla boda boda likaisha mafuta. Bodaman nampa buku 10 eti hana chenji...nikamkimbia. Full kulikimbiza lile gari....bahati mbaya...likanizidi mbio.

Basi nikarudi mpaka kwa mwenzawangu koz nilikua najua anapoishi. Nikalala mlangoni..nikamsubiri mpaka majira ya saa saba mchana. Akaja na swaga alikua semina Bagamoyo...u know...blah blah kibao. Nikamwambia its ok. Akafungua mlango...nikalala kupunguza uchovu na usingizi. Na yeye akalala...full kuchoka huku akikoloma.


Hatukula mchana...sikupikiwa mbwa mimi. Nikastuka saa 11 jion. Nikamstua tukaanza discussion. Akaanza kubisha na kuleta majibu ya oldi skuli. Aisee nilimpa mbata za kutosha...mpaka damu.....nikazama kwenye wallet yake...nikakuta laki 4..nikazikomba zote...nikaanza safari kurudi moro town. Jana nimesikia kalazwa hospital.


Nitaziweka picha zake hapa soon.

Wakati munaishiwa mafuta mlisimama sisi tuliwaona, tukavunga kama tunaenda mbele kidogo hivi halafu tukarudi tukaingia kwenye ile guest karibu na pale ulipokuwa. Tena ilikuwa kidogo tu ungetuona!
 
Umechemsha kweli, unachukua hela za demu wako? tafuta zako mkuu.
 
Umechemsha kweli, unachukua hela za demu wako? tafuta zako mkuu.

hata miye nimemshangaa!! Maanayake hapo kahongwa na kidume mwenzie loh!! Swaga zote hzo kumbe alikuwa anataka pesa! Mweeh!! Kazi kwelkweli!!
 
we hujamuoa huyo hivyo si wako na kama umeoa ndo madhara yakuwa mbali hayo
 
Umetudhalilisha wana Morogoro kutoroka na pesa za watu kiasi cha laki 4
 
Waiting for Part 3 of the movie,Bongo Movie hawapo humu isije ikawa kuna mtu kaibiwa stori yake.

hahahaha unajisifia kukomba laki nne alizohongwa na kidume mwenzio.


Aiseee kumbe ushauri wa part 1 ulikutaka uwende kufumania ..hahhj hhhaahh

Part 2 inaonesha kuna part 3 itakayo fwata ambayo itashitikisha polisi na mahakama.
Kwamza umefanya shambulio ambalo mke wako tayari amekukatia PF3 ili atibiwe.

Pili umechukua pesa zake bila lidhaa yake jambo ambalo ni uwizi.
 
Back
Top Bottom