asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
dah!!!!!! pole sana,,,,,,,
sasa mipango yako ni nini?
sasa mipango yako ni nini?
hata miye nimemshangaa!! Maanayake hapo kahongwa na kidume mwenzie loh!! Swaga zote hzo kumbe alikuwa anataka pesa! Mweeh!! Kazi kwelkweli!!
Wakati munaishiwa mafuta mlisimama sisi tuliwaona, tukavunga kama tunaenda mbele kidogo hivi halafu tukarudi tukaingia kwenye ile guest karibu na pale ulipokuwa. Tena ilikuwa kidogo tu ungetuona!
kwanini hakubeba tindikali huyu?
He he he nakwambiaaa!!we are just missin em picxx!!kumbe lile fumanizi letu ndo limefikia huku lol
ngoja tusubirie part sirii