Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,500
Jamani Yanga ndio wameianza ligi sasa, wanaongoza 3-1 kipindi cha pili kinaendelea
Wameanza ligi wakati ligi inaliisha. Haya kombe lenu.
wanadai ligi itaisha siku ya mechi ya simba, hapa wameanza kutoa discipline
Huko hakuna tofauti na mgonjwa kuishi kwa matumaini ya kupona. Wacha waendelee kujipa matumaini.