Updates: Mkutano wa CHADEMA Njombe

hahahahahhaa

Kamwene baba
 
Kamanda good, nakushukuru sana kwa ushuhuda huu, tayari hapo njombe ni jimbo la chadema, tuendelee kuhamasisha watu wajiadikishe na wapige kura, naomba umoja huo uendelee, kabisa...mwaka huu ni mwaka wa mabadiliko kwa maendneleo ya taifa........!!
 
Asante my chadema!
Na mungu ibariki chadema!
Mbariki rais slaa !
Mbariki gen:mbowe!
Mbariki prof.safari!
Mbariki jj mnyika!
Mbariki s.mwalim!
Bariki baraza kuu la chadema!
Bariki kamati kuu ya chadema!
Bariki viongozi wa mikoani!
Bariki viongozi wa wilayani!
Bariki kila mkutano unaofanywa !
Bariki hii nchi itoke mikononi mwa mafisadi na iongozwe na ukawa ifikapo october 2015.
 

Kweli cdm ni mpango wa mungu na ukawa idumu daima
 
Zitto aliisha ifuta Chadema njombe, sasa anaelekea Arusha
 

Kwa nyomi hii bikiroboto hata kama alikuwa anapita angegeuza njia
 
peleka shule kilamahali..mdudu alaye asipate pa kuchomokea
 
Chadema ilishasahaulika mambo yote act.
Makamanda pelekeni somalia tanzania ni uzalendo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…