Updates: Mkutano wa CHADEMA Dodoma

Updates: Mkutano wa CHADEMA Dodoma

NGOWILE

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2011
Posts
454
Reaction score
258
Wanajamvi leo kutakuwepo na mkutano wa CHADEMA viwanja vya barafu mjini Dodoma kuanzia saa tisa jioni. Nitajihidi niwezavyo kuwajulisha kitakachoendea. Mkutano huo utahutubiwa na wabunge na viongozi wa CHADEMA waliopo vyuo vikuu.

Updates: Mnyika jukwaani
 
waambie tunataka majibu ya hoja za mwigamba, mwenyekiti wa chadema mkoa wa arusha
 
Umesema wabunge nao watahudhulia ina maana hata Shibuda atakuwepo?
 
Vizuri sana viongozi wa Chadema, kwa kuona msingi wa chama ni kufanya shughuli za kichama, Pole zao wale wanaodhani kuna kiongozi wa ngazi ya juu chadema atakayeongea Ronya!" kuhusu suala kufukuzwa wasaliti.
 
Je RC DR. Nchimbi amearifiwa? asije akaleta police na mabumu wakatupiga

soma hapa
[h=2]
icon1.png
Msikieni naye Nchimbi mkuu wa mkoa wa DODOMA anavyotoa povu[/h] RC: CHADEMA HAKINA HADHI

Wednesday, November 6 2013, 7 : 2

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma ambaye pia ni kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Rehema Nchimbi, amesema Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), hakina hadhi ya kuitwa mtani wa jadi dhidi ya chama tawala.

My take
Mara ngapi kazuia maandamano na mikutano ya CHADEMA kwa kutumia ukada wake, kila akisikia CHADEMA wanataka kufanya maandamano au mkutano tumbo linauma anaanza kuharisha.
 
Je RC DR. Nchimbi amearifiwa? asije akaleta police na mabumu wakatupiga

soma hapa
icon1.png
Msikieni naye Nchimbi mkuu wa mkoa wa DODOMA anavyotoa povu


RC: CHADEMA HAKINA HADHI

Wednesday, November 6 2013, 7 : 2

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma ambaye pia ni kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Rehema Nchimbi, amesema Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), hakina hadhi ya kuitwa mtani wa jadi dhidi ya chama tawala.

My take
Mara ngapi kazuia maandamano na mikutano ya CHADEMA kwa kutumia ukada wake, kila akisikia CHADEMA wanataka kufanya maandamano au mkutano tumbo linauma anaanza kuharisha.
Kuna dada alikuwa uvccm miaka ya nyuma kwa jina la Nchimbi aliyehusishwa na kifo cha Ipyana Malecela. Nitamuuliza Willy kama ndiye huyu.
 
Vizuri sana viongozi wa Chadema, kwa kuona msingi wa chama ni kufanya shughuli za kichama, Pole zao wale wanaodhani kuna kiongozi wa ngazi ya juu chadema atakayeongea Ronya!" kuhusu suala kufukuzwa wasaliti.

pamoja xana.masalia watakoma.dr kasema yeye yupo kusubiria rufaa.kama hujardhka na adhab uliyopewa mlango ni mweupe kumuona dr.
 
Je RC DR. Nchimbi amearifiwa? asije akaleta police na mabumu wakatupiga

soma hapa
[h=2]
icon1.png
Msikieni naye Nchimbi mkuu wa mkoa wa DODOMA anavyotoa povu[/h] RC: CHADEMA HAKINA HADHI

Wednesday, November 6 2013, 7 : 2

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma ambaye pia ni kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Rehema Nchimbi, amesema Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), hakina hadhi ya kuitwa mtani wa jadi dhidi ya chama tawala.

My take
Mara ngapi kazuia maandamano na mikutano ya CHADEMA kwa kutumia ukada wake, kila akisikia CHADEMA wanataka kufanya maandamano au mkutano tumbo linauma anaanza kuharisha.

hivi huyu mteule ni mke wa yule manywele wa mjengoni?maana naye anatoa mapovu km jamaa.
 
Back
Top Bottom