Updates kutoka MUHIMBILI: Madakitari WANYWEA warudi makazini

Mkuu Riwa, kwa vile watu humu tumehamanika sana na mgomo huu ili serikali ikomeleke, wanakufa na kuteseka na mgomo huu sio waserekali bali ni wananchi wenzangu na mimi!.

Alichosema mleta mada ni amewashuhudia madaktari hapo Muhimbili kwa macho yake na huduma zinaendelea!. Sasa hizi taarifa ni madaktari wa wapi na hawapati ushirikiano, hayo ni mengineyo, la msingi madaktari wapo na wanatoa huduma!. Sasa kila hoja msizopenda kuziita ni propaganda sio haki kwenye serious issue kama kutumia roho na life za watu masikini wa kutupwa kama bargain proin ya kudai maslahi bora!.

Serikali imefanikiwa ku defuse huu mgomo na at the end of the day kutakuwa na winners na loosers, madaktari wata loose lakini the biggest loosers ni wale waliolipia kwa roho na maisha yao kwa ajili ya upuuzi wa wachochezi wachache na serikali jeuri na kiburi isiyokubali kuwanyenyekea walioshika mpini wa roho za Watanzania!.

have i just seen neno "serious" kutoka kwa pasco? i will be damned!
au id yake imevamiwa?
 
kumbe kipeng'e kaona wanajeshi anajua wamerudi sasa lugalo napo je itakuwaje.. ngoja tuone..
 
Mkuu Riwa, kwa vile watu humu tumehamanika sana na mgomo huu ili serikali ikomeleke, wanakufa na kuteseka na mgomo huu sio waserekali bali ni wananchi wenzangu na mimi!.

Alichosema mleta mada ni amewashuhudia madaktari hapo Muhimbili kwa macho yake na huduma zinaendelea!. Sasa hizi taarifa ni madaktari wa wapi na hawapati ushirikiano, hayo ni mengineyo, la msingi madaktari wapo na wanatoa huduma!. Sasa kila hoja msizopenda kuziita ni propaganda sio haki kwenye serious issue kama kutumia roho na life za watu masikini wa kutupwa kama bargain proin ya kudai maslahi bora!.

Serikali imefanikiwa ku defuse huu mgomo na at the end of the day kutakuwa na winners na loosers, madaktari wata loose lakini the biggest loosers ni wale waliolipia kwa roho na maisha yao kwa ajili ya upuuzi wa wachochezi wachache na serikali jeuri na kiburi isiyokubali kuwanyenyekea walioshika mpini wa roho za Watanzania!.

Pasco mnamjua mleta mada lakini?
 
Wakuu nipo hapa Muhimbili madakitari wamarejea na kufanya kazi kama kawaida
naona na wagonjwa wanamiminika kwa wingi

Sijajua Hospitali nyingine inakuwaje

Wenye updates from Mwananyamala na amana watujuze


Tumekuzoea kwa uongo kwa hiyo na taarifa yako tunachukulia ni ule mzaha wako wa kawaida, mpigie simu Pinda mwambie madaktari wamerudi Kazini.
 
Asante Kupeng'e kwa taarifa hii ya matumaini.

Haya mode wa jf, ihamishie na hii thread kule kunakoonyesha mgomo inaendelea, kama ulivyokuwa unafanya jana kwa kila thread ya kuonyesha baadhi ya sehemu ambazo mgomo uliisha.

Hii thread ikibaki hivi hivi ilivyo, watu watadhani mgomo unaanza kuisha wakati ni nia ya jf mgomo uendelee!.

tunajua mabandiko yako nia yake ni kutunisha 'bahasha ya khaki'
 
Asante Kupeng'e kwa taarifa hii ya matumaini.

Haya mode wa jf, ihamishie na hii thread kule kunakoonyesha mgomo inaendelea, kama ulivyokuwa unafanya jana kwa kila thread ya kuonyesha baadhi ya sehemu ambazo mgomo uliisha.

Hii thread ikibaki hivi hivi ilivyo, watu watadhani mgomo unaanza kuisha wakati ni nia ya jf mgomo uendelee!.

nani kakuambia nia ya jf mgomo uendelee. tutake radhi. nia ya jf ni haki itendeke. sasa nakutaka pasco ujivue gamba uache ujinga na ujitoe jf.
 
Idara ya emergency (EMD) wamekabidhiwa wanajeshi...hawajavaa magwanda tu, lakini sio madaktari wa Muhimbili! Hata hivyo, wanajeshi hao hawana ushirikiano toka kwa manesi, na hivyo ufanisi wao utakuwa wa kusuasua!

Lakini cha kushangaza ni kuwa, kwa nini walete wanajeshi Muhimbili toka Lugalo? Kwani pale Lugalo si kuna hospitali, kwa nini tu wasishauri wananchi waende Lugalo?!

Propaganda....

Pinda anafanya maigizo ya Pwagu na Pwaguzi. Wanajeshi wa Lugalo kuletwa Muhimbili ndio ufanisi utaongezeka wakati Lugalo penyewe huduma wameshindwa siku zote? Ukidhani naongopa peleka mgonjwa wako pale. Huduma za Lugalo siku hizi sio kama za zamani. Unaweza kujilaumu umefika kufanya nini pale kama unatibiwa. Madai ya malipo ni chap chap, huduma zaidi wanaofanya ni wanafunzi wa AMO wanaojifundisha kutibu.
 
Wakuu nipo hapa Muhimbili madakitari wamarejea na kufanya kazi kama kawaida
naona na wagonjwa wanamiminika kwa wingi

Sijajua Hospitali nyingine inakuwaje

Wenye updates from Mwananyamala na amana watujuze

Propaganda tu hamna lolote!!
 
mtoa mada ni muongo ok hii ni status facebook ya sis wangu yupo muhimbili pale ...
Liyutha Mugheiry Yaani weh acha tu,our places are being taken by military doctors,how pathetic!2 hours ago · Like

mgomo bado upo
 
taarifa za vituo mbalimbali vya radio na television mchana huu zinasema madaktari ktk hospitali nyingi leo wapo kazini
 
Mkuu Riwa, mimi nalipwa kuumaliza huu mgomo. He who laugh last laugh most!.

Why shouldn't you have the last laugh....bwana'ako aliyekutuma punde tu kaongezewa marupurupu (70,000 - 330,000), lazima ucheke kwa kuwa marupurupu yako ya kuwa hapa nayo yanaongezeka!
 
Serikali imefanikiwa ku defuse huu mgomo na at the end of the day kutakuwa na winners na loosers, madaktari wata loose lakini the biggest loosers ni wale waliolipia kwa roho na maisha yao kwa ajili ya upuuzi wa wachochezi wachache na serikali jeuri na kiburi isiyokubali kuwanyenyekea walioshika mpini wa roho za Watanzania!.

Kama serikali ingekuwa imefanikiwa kudefuse mgomo, Pinda hasingetafuta matapishi yake kwenye dust bin na kutaka kuyameza tena kwa kutafuta meeting tena na uongozi wa kama ya kuratibu mgomo. Aliuliza 'Ulimboka ni nani?' kwa dharau...kwa nini anampigia simu tena ili akutane naye?!

Unaweza lazimisha punda kwenda mtoni....lakini huwezi mlazimisha anywe maji. Madaktari walikuwa kimya baada ya tamko lake, sasa anawatafutia nini kama keshadiffuse mgomo?
 
Madaktari mmetuvunja nguvu kwa hiyo mmekubali wabunge wachukue 330,000/= kwa lipi walilosomea kuliko ninyi?
kweli ni aibu ndo maana wote mnagombea Udiwani na Ubunge
 
Update....................8.40pm

Muhimbili huduma zimeanza kuzolota wanajeshi ndo wako wodini lakini hakuna ushirikiano na manesi
Madoctor wengine wako wanazurula wengine wko nyumbani..............Mgomo bado unaendelea....Madoctor wengi
wanaojiwa na wanausalama( do not qoute me)
 
Siungi mkono wagonjwa kuteseka, ila pia sifurahishwi na serikali kutumia mabavu kutuliza matatizo ya wananchi.
Kama madaktari wamerudi kazini kabla halijatatuliwa, tukisikia tena malalamiko yao tuwapuuze kwa tabia yao ya kitoto.
 
wakuu nipo hapa muhimbili madakitari wamarejea na kufanya kazi kama kawaida
naona na wagonjwa wanamiminika kwa wingi

sijajua hospitali nyingine inakuwaje

wenye updates from mwananyamala na amana watujuze


update....................8.40pm

muhimbili huduma zimeanza kuzolota wanajeshi ndo wako wodini lakini hakuna ushirikiano na manesi
madoctor wengine wako wanazurula wengine wko nyumbani..............mgomo bado unaendelea....madoctor wengi
wanaojiwa na wanausalama( do not qoute me)

mgomo pale pale..... Hakijaeleweka kitu hapa.....hao wanajeshi tuone, kwani 2005 walifanya nini?

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom