Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Wakuu nipo hapa Muhimbili madakitari wamarejea na kufanya kazi kama kawaida
naona na wagonjwa wanamiminika kwa wingi
Sijajua Hospitali nyingine inakuwaje
Wenye updates from Mwananyamala na amana watujuze
Update....................8.40pm
Muhimbili huduma zimeanza kuzolota wanajeshi ndo wako wodini lakini hakuna ushirikiano na manesi
Madoctor wengine wako wanazurula wengine wko nyumbani..............Mgomo bado unaendelea....Madoctor wengi
wanaojiwa na wanausalama( do not qoute me)
naona na wagonjwa wanamiminika kwa wingi
Sijajua Hospitali nyingine inakuwaje
Wenye updates from Mwananyamala na amana watujuze
Update....................8.40pm
Muhimbili huduma zimeanza kuzolota wanajeshi ndo wako wodini lakini hakuna ushirikiano na manesi
Madoctor wengine wako wanazurula wengine wko nyumbani..............Mgomo bado unaendelea....Madoctor wengi
wanaojiwa na wanausalama( do not qoute me)