No overtaking
Member
- Dec 14, 2013
- 41
- 78
.
kaka bado sana endelea kusubili kila kitu kitawekwa hewaniSalaam kwenu.
Tafadhari naomba mwenye taarifa juu ya nafasi walizotangaza hawa jamaa (CLIENT OFFICERS @Advans Bank Tanzania-Mbeya Branch na CREDIT/ASSISTANT CREDIT OFFICER-UTT Microfinance) anijuze kama wameshaanza kuita/wameshaita watu kwa ajili ya interview. Deadline ilikuwa tar.14 mwezi huu.
Thanks.