imagine hapa tulipo tuliambiwa maisha bora kwa kila mtanzania lkn leo hii hata mlemavu, mgonjwa na mzee wanakuwa taxed watu ambao permanent earning kwao ni shida ama haina uhakika kabisa.
kumtoza mtu sh 1000 kwenye simu wakati mtu huyu umesema unampa matibabu bure ni ujinga kabisa, kama ulimwona ni needy hadi ukampa msamaha wa matibabu sasa kwann leo umuone anastahili kulipa kodi kwa simu anayotumia?